Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,477
- 30,130
Malipo ni hapa hapa, wanavyo uwawa adi raha!
Kila siku mmoja au wawili adi waishe!
Mmh...Hii kali! Hata kama wenyewe polisi ndiyo waliotufikisha hapa, lakini sio vyema kuwaombea wafe mmoja baada ya mwingine! Ila sasa ndiyo muda muafaka wa kuwasuta, kuwa wanaona madhara yanayotokea kwa kulea kwao mambo ya udini?