Inabidi ifike mahali na sisi tuwe kama hawa jamaa maana naona polisi wetu wamekuwa wakitumia hovyo sana silaha za moto dhidi ya raia wema. Congo B polisi anakuwa na rungu na filimbi tu. Mwenye kibali cha kutumia silaha ya moto ni Mwanajeshi tu!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums