Askari Polisi hapa Arusha Wamegeuzwa Watumwa...

Askari Polisi hapa Arusha Wamegeuzwa Watumwa...

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,489
Reaction score
18,379
Hapa Arusha hasa maeneo ya stend kuu,
Kuna askari wenye virungu vinavyofanana

Wapo katika vikundi vikundi vya wanne wanne..
Wazunguka zunguka tu, hawa polisi ni wafupi na wengi wanalingana!
Kofia walizovaa zina lebo za rangi tofauti tofauti!

Na naona wamesambazwa tu ili kuwajengea watu nidhamu ya uoga!!

Arusha uchaguzi utakuwa poa tu!
 
Dah hao Cruta wanasumu kama nini ndio dawa ya watu wa Arusha naamini kesho Chuga watapata adabu.
 
Dah hao Cruta wanasumu kama nini ndio dawa ya watu wa Arusha naamini kesho Chuga watapata adabu.

mkuu ukiviona utapata huruma juu yao,
Roho zao zimejaa sana mashaka, ni wadogo sana!!

Kiakili kimwili na kiumri...
 
Back
Top Bottom