GE2025 Askari Magereza walioficha nyuso zao wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

GE2025 Askari Magereza walioficha nyuso zao wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Askari Magereza walioficha nyuso zao wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

View attachment 3424318
ujinga mtupu.........Lisu is not a threat mpaka avaliwe takataka kama hizo. Kwani hiyo inazuia sucide bomber? ujinga tu. Watu wakichoka hiyo haisaidii.

Lisu is not a dangerous man, ni politician anayetafuta haki na utawala bora wa sheria....ni peaceful human rights demanding man!
 
ujinga mtupu.........Lisu is not a threat mpaka avaliwe takataka kama hizo. Kwani hiyo inazuia sucide bomber? ujinga tu. Watu wakichoka hiyo haisaidii.

Lisu is not a dangerous man, ni politician anayetafuta haki na utawala bora wa sheria....ni peaceful human rights demanding man!
Lissu alisema yeye mzee wa amsha amsha… Mzee wa kukiwasha hayuko goi goi Kama Mbowe! Sasa akileta amsha amsha si watakosa kazi mkuu?
 
ujinga mtupu.........Lisu is not a threat mpaka avaliwe takataka kama hizo. Kwani hiyo inazuia sucide bomber? ujinga tu. Watu wakichoka hiyo haisaidii.

Lisu is not a dangerous man, ni politician anayetafuta haki na utawala bora wa sheria....ni peaceful human rights demanding man!

Hujaelwa hapo. Watu wanaona mbali ya upeo
 
Lissu alisema yeye mzee wa amsha amsha… Mzee wa kukiwasha hayuko goi goi Kama Mbowe! Sasa akileta amsha amsha si watakosa kazi mkuu?
Lakini akili zako ni matope. Sasa amesema amejiamini na hakujificha sura kinachowafanya nyinyi kuziba sura na kutakakuficha mashahidi ni nini ? Maana yake hamjiamini.
 
Back
Top Bottom