Askari magereza amuua mwananchi kwa kumpiga risasi baada ya ng'ombe kuingia katika eneo la magereza. Kamanda wa polisi mkoa wa mara bw. Robert boaz amethibitisha tukio hilo.
Mtuhumiwa huyo alikamatwa lakini mwanasheria wa serikali mkoa wa mara akaamuru aachiwe huru, akaachiwa.
Sielewi, hivi ina maana mwanasheria wa serikali ndiye anayewafundisha polisi cha kufanya?
Na kama hao polisi walihitimu vizuri? Kwa nini wametii?
Wakazi wa mara hebu tupeni undani zaidi jamani. Tusitangaze amani kwa maneno tu majukwaani.......
Mtuhumiwa huyo alikamatwa lakini mwanasheria wa serikali mkoa wa mara akaamuru aachiwe huru, akaachiwa.
Sielewi, hivi ina maana mwanasheria wa serikali ndiye anayewafundisha polisi cha kufanya?
Na kama hao polisi walihitimu vizuri? Kwa nini wametii?
Wakazi wa mara hebu tupeni undani zaidi jamani. Tusitangaze amani kwa maneno tu majukwaani.......