Hahahaaaa we Manengelo umenichekesha sana chai wanaifanyaje?😂😂kama wanagombana vile..hata chai tu anavyoisip km anasonya😂😂😂
Tena ni wazuri mnoMmmmh yaani inasimama hata kwa mwanajeshi aisee hii miche yetu itatumaliza
Ooh hayo ndio unaona MATESO lakini alivyomkaba na kumuua huyo dada hakusikia mateso hivi hujui kua tunaongelea roho iliyopotea hapa?So unafikiri hayo mateso hapo juu yana add chochote.... think properly..... infact kuna version nyingine ya story huyo mjeda alitaka kumdhulumu huyo fundi.....msiwe watu wa kurup....kurup
Weweeee wale wanapata mafunzo kupigana kwa silaha na bila silaha..Mwanajeshi sio mwanamieleka. Yeye kawa trained kutumia silaha. Sio mabavu.
Unajua kitu kinaitwa mahakama???....pls stretch your mind properly.....hakuna anayetetea wauaji lkn sheria lazima ifate mkondo wake hop u get my driftOoh hayo ndio unaona MATESO lakini alivyomkaba na kumuua huyo dada hakusikia mateso hivi hujui kua tunaongelea roho iliyopotea hapa?
alitaka kumdhulumu ndio amuue?? alijuaje kama atadhulumiwa wakati bado hajadhulumiwa?
Hebu acha kutetea mauaji hujui yatamkuta nani katika familia yako
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Unaijua kabali? Ikikaa imekaa tena ya kuviziwa!! Halafu fundi wajenzi wana nguvu. Inawezekana kupigana akawa hajui lakini ana nguvu na kingine huyo mwanajeshi ni mwanamke.Inasikitisha kwa mwanajeshi unauwa na fundi ujenzi ambae hana silaha.Halafu tunapeleka askari kusaidia nchi nyingine?Hii hatari sana tunatakiwa tuwape mafunzo na ukakamavu was kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile judo na Karate za uwanja wa taifa huwa hawafundishwi wote?Mwanajeshi sio mwanamieleka. Yeye kawa trained kutumia silaha. Sio mabavu.
Icho kipengele hakiwekewi mkazo,wanajeshi wetu wengi ni watoto wa mama tu(wapo laini sana hata self defence hawana.)
Yakikukuta ndio utajua kua mahakama si lolote si chochote mbele ya mpendwa wako.Unajua kitu kinaitwa mahakama???....pls stretch your mind properly.....hakuna anayetetea wauaji lkn sheria lazima ifate mkondo wake hop u get my drift
We Dada ww na wale wajeda waliokuwa wanabaka wake zetu huku mitaan kila mliwafanyia haya? Ajali kazini afikishwe mahajamani.. ..tusijifanye mahakimu saanaWakimkamata huyo mshenzi wala wasimpige,
Wamnyofoe hayo madubwasha yake, wamtoboe jicho moja na wamng'oe meno yote, halafu kwenye vidonda wamuweke chumvi, ndimu na pili pili, kisha wamtupe jela for the rest of his miserable life.
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Kama walikua wanawabaka wake zenu kisha mkawaangalia basi mlipenda wenyewe lakini hiyo ndio adhabu ya mbakaji na muuaji wa makusudi.We Dada ww na wale wajeda waliokuwa wanabaka wake zetu huku mitaan kila mliwafanyia haya? Ajali kazini afikishwe mahajamani.. ..tusijifanye mahakimu saana
Sent using Jamii Forums mobile app
....Labda awe analipa sana na asiwe ndani ya magwanda na hata hivyo ntamgonga ki machale machale sanaMkuu huezi gegeda mjeda?
Naona hasira yako dhidi ya wabakaji iko juu mno....vepe ww ulishawahi bakwa labda!!?Yakikukuta ndio utajua kua mahakama si lolote si chochote mbele ya mpendwa wako.
Halafu maneno yangu hayakua sheria kua lazima wayafate ila kwa mimi binafsi inatokea mtu wangu wa karibu amebakwa nikamjua mbakaji/wabakaji basi hiyo ndio itakua adhabu yao same na ya wauaji.
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.