Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Kwa staili hii faini zitalipwa fasta fasta. Askari wa bongo nao wangewaiga wenzao wanavyofanyaga!
Duhu, hilo nalo neno!Bongo makosa yangeongezeka
Hapo ni urusi. Ha ha ha, naona MziziMkavu sasa unataka kujilipua ukafanye uhaini ili ulipe faini ya fasta!Sasa hii ni nchi gani mkuu?Ulaya au Amerika? Askari Kanzu