DFP = Donor Funded Project Kwa nini litumike gari hilo?
Moja ya Ajenda katika Mazungumzo haya ya Hawa Waheshimiwa hapo ni Jinsi gani watakavyoipangua hii hoja amekosekana Nchimbi tu
View attachment 66241 Yetu Macho!
Tayari alishafikishwa mahakamani asubuhi hii. Leo katumia gari namba DFP.
source: Francis Godwini
King Kong kwa kweli umeona mbali sana anayefunikwa ushungi kuja mahakamani ni mfupi alnayeonekana pichani akilipua ni mrefu....kuna jambo hapa!!Kwanini wanasema anayedaiwa kumuua merehemu mwandosi na y isiwe aliyemuua mwandosi? Pale kulikuwa na askari zaidi ya 8 y wamchukue yeye? Pia yule mtuhumiwa tunayeonyeshwa mbona mfupi? Wakati aliyeshika m22 tumboni na kusambalatisha tumbo ni mrefu! Kuna kitu hapo!