Ask me anything about world history

Ask me anything about world history

TESRA

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
389
Reaction score
378
You can ask any question of history ....it's special for students, especially from form one up to six........you're most welcome......
d406ccbfebdd732d904ac9559d62dc27.jpg
 
binadamu wa kwanza ktk historia tunaambiwa alitokana na nyani... rejea evolution of man...
kwenye maandiko tunaambiwa tunatokana na ADAM na HAWA, je wewe kama historian unaamini wapi ? toa hoja kusapoti jibu lako
 
Kuna kiongozi fulani wa Mongolia ambaye inasemekana kati ya binadam 10 basi 7 wana vinasaba (DNA) vyake. Mtaje!..
 
Kuna kiongozi fulani wa Mongolia ambaye inasemekana kati ya binadam 10 basi 7 wana vinasaba (DNA) vyake. Mtaje!..
Kanitoka kidogo aisee sio Mao Zedong kwelii
 
Genghis Khan
Anhaaaa namjua huyu mtu ahsante sana, inaaemekanà alizaaa sana na wanawake wengi mpaka leo ukichukua watu kumi basi nane wanatoka kwenye bloodline yake...
Ila aliendesha vita sana na kuua watu huyu kiumbe...
 
Anhaaaa namjua huyu mtu ahsante sana, inaaemekanà alizaaa sana na wanawake wengi mpaka leo ukichukua watu kumi basi nane wanatoka kwenye bloodline yake...
Ila aliendesha vita sana na kuua watu huyu kiumbe...
Tactics zake alizotumia mpaka leo zinatumika fundishia jeshi!..Kaburi lake halijulikani mpaka leo, majenerali wake walipoteza ushahidi wa wapi kazikwa!...Atabaki kumbukwa kwa kuruhusu uvumilivu wa dini mbalimbali kwenye empire yake pamoja na ukubwa ilokua nao!!.
 
Tactics zake alizotumia mpaka leo zinatumika fundishia jeshi!..Kaburi lake halijulikani mpaka leo, majenerali wake walipoteza ushahidi wa wapi kazikwa!...Atabaki kumbukwa kwa kuruhusu uvumilivu wa dini mbalimbali kwenye empire yake pamoja na ukubwa ilokua nao!!.
Aiseee ahsante sana ngoja nitamsaka nikipata muda niongeze maarifa
 
You can ask any question of history ....it's special for students, especially from form one up to six........you're most welcome......
d406ccbfebdd732d904ac9559d62dc27.jpg
Nimepitia maswali ya watu na response yako inaonesha wazi Kabisa history huiwezi na Kama utajibu basi majibu yako yatakuwa google oriented
 
Back
Top Bottom