Asilimia kubwa ya wanawake wanaolewa kutafuta unafuu wa Maisha

Wimbi kubwa sababu wanawake wanazaliwa wengi kuliko wanaume pili kwenye hao wanaume toa mashoga, tatu toa wasiotaka kuoa haya hapo mnabakia wachache sana
 
Alikumbuka kukuambia pia kwamba hao wanaume mnaowataka wenye hela wapo Wachache ukilinganisha na idadi yenu mnaowataka hao wanaume?

Mlivyo wa binafsi, utasiskia, mwenye bahati yake ndo ataolewa.
Basi pia mkubali kua lazima hao hao wanaume wenye hela wawapange wengi wenu na kuwafanya vile wao wanavyotaka, na mwisho wa siku anaolewa m1 tu kati yenu.

Hasara kwa nan?
upo vizuri
 
Habari za muda.
Polen na majukum ya kujenga Taifa, kwa sisi tuliolala, tutawasaidia kupaka rangi huko mbelen, maisha yanaenda.

Back to the Topic.
Iko hivi, naleta huu uzi kutokana na uzoefu nliopata mimi binafsi na kwa watu walionzunguka, jamii.
Unawaonea wivu kwa jinsi wanavyopenda kamserereko?
 
Habari za muda.
Polen na majukum ya kujenga Taifa, kwa sisi tuliolala, tutawasaidia kupaka rangi huko mbelen, maisha yanaenda.

Back to the Topic.
Iko hivi, naleta huu uzi kutokana na uzoefu nliopata mimi binafsi na kwa watu walionzunguka, jamii.
The same your mother
 
"Baba Angumbwike akikata ringi tu Mali zote zangu hizi"
Ila kuna wanawake wanabahati nyie ,mweee,kuna jamaa etu nifamily Friend wetu,aiseee alimuomba mama amtafutie mfanyakazi miaka Saba iliyopita,nahuyo mfanyakazi anawatoto watatu kabla hajaja hapo kama housemaid,amefika hapo jamaa akauguza mkewe nasasa wanawatoto watatu,naamejenga ukweni,nanyumba mbili kamjengea,jamaa anastable economy sio Haba,nakamletea wafanyakazi wengine wakati yy alikuja kama mfanyakazi
 
Nakupa takwimu zilizo hai, sio uongo wala ubabaishaji.

Unajua kwamba kwa maisha yetu ya kibongo, asilimia kubwa ya vijana wengi wa kitanzania wanaanza kua well off kiuchumi (Kipato cha uhakika/hela) kuanzia miaka 30 na zaidi?

Lakin pia unafahamu kwamba, vijana wengi wa kitanzania waliojistabilize kiuchumi wa miaka hio wanakua katika mchakato wa kuoa ama wameshaoa?

Unajua madhara ya hii ni nin?

Kuna idadi kubwa ya wanawake kuanzia umri wa miaka 18-40 inakua inahitaji wanaume wa design hii, ana maisha yake binafsi, mpambanaji, pengine ana sehem yake binafsi anaishi, ana kausafiri kake, the usual, vitu ambavyo nyie wanawake hua mnapenda kuona mwanaume anavyo.

Sasa wewe nambie, kwa hayo mambo maTANO nliyoyataja hapo juu, una hisi yataisha?

Maana unakuta mwanaume m1 anagombaniwa na wanawake 20 huko.
Wote wanasema ndo mwanaume wanayemtaka, amekidhi vigezo.
Nyie 19 unafikiri nini kitatokea kwenu?
Maana mwisho wa siku ntaoa mmoja ambaye naona kwangu anafaa, nyie 19 mliobaki sitowalazia damu lakin sitowaoa.

Sijui unaelewa nachojaribu kuongea hapa?

Bottom line, usimtegemee mwanaume kwa kila kitu, hata kama unakitu chako kidogo, iwe ni kazi au biashara inatosha.
Si hitaji pesa yako, lakin inanipa moyo kuona kwamba nina mwanamke anayejielewa na anafahamu nini anafanya.
Hata nkikuweka ndan, pamoja na mm kuchukua majukum yote kama Mme, lakin nakua nafahamu sipo na mzigo ndan.

Unanielewa?
Brother Unaongea uhalisia wamtanzania Sana,kiufupi umefanya utafiti kabla hujaandika,by the way,huu kiukweli mchungu,wanawake wanajivunia Sana mwanaume mwenye stable economy,salio wengi wahapendi wanaume wakuhangaika nao kutimiza ndoto,wanahitaji ambae ashatimiza ndoto tyr Ambao wengi wao hua either wameshaoa au wako ktk michakato yakuoa,mwanamke mmoja Ila wao wako 100
 
OK Sawa ila hakuna binadamu anayependa shida maana hata tendo la kuchakatana huku na mkiwa na njaa haliendi kabisa.......
Hata ww mwanaume maisha ya dhiki yatakuumiza kichwa so Why wasitafute penyee unafuu wa maisha .....
Waache wanawake wale utawala wa Nchiii
Wanawake 80% wanafanya biashara ya miili yao kujipatia kipato.
Hawana mapenzi ya kawaida bali mapenzi ya pesa.

Wanaume tunaangalia uzuri na hisia za ngono,wao hata kibwego fulani tu,anazotaka pesa tu hata hisia za ngono hawana
 
Kimantiki kwenye ndoa mume ndio mwenye jukumu la kumuhudumia mkewe na moja ya sifa za mtu anayetakiwa kuoa ni kuwa na uwezo wa kumuhudumia mke bila kama huyo mwanamke ana kipato au lah.......Hali hiyo kikawaida ni kama inaonekana inampa unafuu wa maisha mwanamke......la hasha Bali ni katika utekelezaji wa majukumu ya mwanaume anayejua wajibu wake kwa mkewe......
 
Kimantiki kwenye ndoa mume ndio mwenye jukumu la kumuhudumia mkewe na moja ya sifa za mtu anayetakiwa kuoa ni kuwa na uwezo wa kumuhudumia mke bila kama huyo mwanamke ana kipato au lah.......Hali hiyo kikawaida ni kama inaonekana inampa unafuu wa maisha mwanamke......la hasha Bali ni katika utekelezaji wa majukumu ya mwanaume anayejua wajibu wake kwa mkewe......
Mkuu nakuelewa, mm sisemi kwamba sis wanaume tusichukue majukum yetu.
Mm naongelea mwanamke awe na uwezo wa kuadd value kwa mme/ndoa yake, sio kila kitu awe tegemezi kwa mmewe.
Kwako inaweza isiwe shida, lakin naomba tu nkuambie, dunia ya sasa imebadilika.
Rate ya Vifo vya wanaume vipo kwenye all time high.
Haya kesho umefariki, umemuacha mkeo na watoto, alikua anakutegemea wewe na watoto kwa kila kitu.

Unajua wataishi maisha ya aina gan wewe ukitoweka?
Wewe mwenyewe utakua na ushahidi tosha, unafahamu nini hua kinatokea kwenye familia nyingi pindi baba anapotoweka, hasa pale inapotokea yeye ndo alikua anategemewa kwa kila kitu.

Kuanzia mke hadi watoto, lazima wapitie maisha ya shida.
Fikiria unaacha watoto wa kike nyuma, unafikiri jamii itaawaonea huruma?
Kisa hawana Baba?
Mke wako je?

No way.
Ifike hatua tufikiri nje ya box mkuu, tupo karne ya 21, zama zimebadilika, hatuishi tena yale maisha ya wazazi wetu ama Babu zetu.
 
Kimantiki kwenye ndoa mume ndio mwenye jukumu la kumuhudumia mkewe na moja ya sifa za mtu anayetakiwa kuoa ni kuwa na uwezo wa kumuhudumia mke bila kama huyo mwanamke ana kipato au lah.......Hali hiyo kikawaida ni kama inaonekana inampa unafuu wa maisha mwanamke......la hasha Bali ni katika utekelezaji wa majukumu ya mwanaume anayejua wajibu wake kwa mkewe......
Hizi ni akili za kizamani kwenye dunia ya sasa ambapo corporates na serikali zinalazimishwa kuongeza nafasi za wanawake kwenye ajira na vyeo vya juu hawa wanawake watakuja kuwa na pesa hata kutuliko. Unakuta demu wako anaingiza 15m , wewe 8m. Utafanya jukumu gani ambalo yeye litamshinda? Hizi ni enzi za kutumia akili na siyo pesa tu. Shauri yenu.
 
Hizi ni akili za kizamani kwenye dunia ya sasa ambapo corporates na serikali zinalazimishwa kuongeza nafasi za wanawake kwenye ajira na vyeo vya juu hawa wanawake watakuja kuwa na pesa hata kutuliko. Unakuta demu wako anaingiza 15m , wewe 8m. Utafanya jukumu gani ambalo yeye litamshinda? Hizi ni enzi za kutumia akili na siyo pesa tu. Shauri yenu.
Sawa mkuu.....
 
Kuna siku nilikuwa napiga stori na Bosi wangu Ni Mzee wa Makamo.... Ni mtu mzima kidogo. Alisema .... Yeye anawashangaa Sana wanawake wanaokubali kuolewa na wanaume wasio na Pesa. Alisisitiza na kurudia Mara kadhaa.

Kwa kweli ilinichukua muda sana kuelewa hiki alichoongea......
Mwanamke anayeolewa na mwanaume asiye na pesa basically huyo mume ndo wa level zake..

Wanawake wenye hela kuolewa na mwanaume asiye na hela inatokea very rarely.
 
Asikudanganye mtu akina Mama wameamka na wako vizuri sana kiuchumi. Naweza sema asilimia kubwa ya familia vijijini na kwa baadhi mijini zinaendeshwa na wanawake.

Inatupasa wanaume kuamka na kusimama kidete maana wengi wa wanawake wakipata kipato huleta jeuri.

Angalizo: Madanga wapo, na hawawezi kuisha maana hata kwenye maandiko tunasoma habari za wanawake walioishi maisha ya kwa kudanga au kufanya umalaya.

Eee Mwenyezi Mungu uturehemu na kurudisha umoja na upendo ktk ndoa, na kizazi chenye maadili
 
Mbavu zangu zinauma kwa kucheka🤣😂
 

Attachments

  • post_271238878_640907257056418_540914598253782611_n.mp4
    1.1 MB
Inahitajika “Financial independent “ kwa wanawake kwenye jamii.

Hii itasaidia kupima kama mwanamke anakupenda unconditionally au conditionally.
 
Back
Top Bottom