uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,982
- 8,336
Redio ambayo haina haya mambo ya habari za Tanzania labda iwe nje tu kwa kifupi wala haina vipindi vya kuongea ongea
Nimejaribu kutafuta Fm redio naona zote asilimia kubwa wanatangaza ujinga tu
Redio za Tanzania zote zitaanza ratiba
Kwa kusoma magazeti na blah blah kibao..
Watakuja wengine kuendesha umbeya na kupiga taarabu
Wataingia mchana wapige nyimbo za bongoluleva
Watakuja michezo
Hakuna kipya ni wanarudia ujinga ujinga tu
Kuna redio moja kipindi cha nyuma jina limenitoka
Kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili ilicheza nyimbo ya kongo oldskul
Usiku kuanzia saa mbili inacheza worship song hadi saa saba usiki
Kuanzia saa saba hadi saa moja kamili inacheza nyimbo za taratibu km rnb, country and soul,
Ghafla ilipotea hewani
Je, kuna ingine mwenye kujua ina maudhui ya mziki tu? Tena mziki mzuri
Nimejaribu kutafuta Fm redio naona zote asilimia kubwa wanatangaza ujinga tu
Redio za Tanzania zote zitaanza ratiba
Kwa kusoma magazeti na blah blah kibao..
Watakuja wengine kuendesha umbeya na kupiga taarabu
Wataingia mchana wapige nyimbo za bongoluleva
Watakuja michezo
Hakuna kipya ni wanarudia ujinga ujinga tu
Kuna redio moja kipindi cha nyuma jina limenitoka
Kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili ilicheza nyimbo ya kongo oldskul
Usiku kuanzia saa mbili inacheza worship song hadi saa saba usiki
Kuanzia saa saba hadi saa moja kamili inacheza nyimbo za taratibu km rnb, country and soul,
Ghafla ilipotea hewani
Je, kuna ingine mwenye kujua ina maudhui ya mziki tu? Tena mziki mzuri