Miaka kama mitatu hivi nilitembea vyuo vikuu vingi hapa nchini, nilishangaa kukuta mabinti wengi ni wajawazito, nilivyouliza kunani wakasema ni fashion, wengi nilichukua mawasiliano yao kwa lengo la kufanya utafiti wa maisha yao baada ya chuo, mpaka sasa nimehoji mabinti 50, 42 wamesema walitelekezwa baada ya kumaliza chuo, ni 8 tu walio olewa baada ya chuo.
Kuna jambo la kujifunza hapa na kuwausia mabinti zetu, na wadogo zetu wanapoenda vyuoni.
Kuna jambo la kujifunza hapa na kuwausia mabinti zetu, na wadogo zetu wanapoenda vyuoni.