snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
kwahiyo 99% ya wanaume wananunua?
nafikiri ndo maana yake,biashara bila mnunuzi inatokaje!mh mbona kazi jamani !
kwahiyo 99% ya wanaume wananunua?
kuna ambao wapo ndoani na hawasaliti lakini wapo sababu ya pesa za mume.Punguza jazba Dada halafu elewa mada, kuna ukweli fulani kwenye hili, ila Wanawake waliopo kwenye ndoa na ambao hawasaliti ndoa zao hawausiki na mada hii, lakini wadada ambao wapo single kitendo cha kutembea na mume wa mtu ni kujiuza tu wala hakuna lugha nyingine au kusema ni mapenzi, pale ni msako wa pesa tu.
kwa hiyo kama 99% ya wanawake, kuna 99% ya wanaume pia ni wanunuzi...........................nafikiri ndo maana yake,biashara bila mnunuzi inatokaje!mh mbona kazi jamani !
Punguza jazba Dada halafu elewa mada, kuna ukweli fulani kwenye hili, ila Wanawake waliopo kwenye ndoa na ambao hawasaliti ndoa zao hawausiki na mada hii, lakini wadada ambao wapo single kitendo cha kutembea na mume wa mtu ni kujiuza tu wala hakuna lugha nyingine au kusema ni mapenzi, pale ni msako wa pesa tu.
Phweeeeeeee! Hebu ngoja tuwasikie wenyewe wanasemaje katika hili.....naamini wengi wa jf ni wa maofisini!Hii ina point, ingawa ukitumia neno 'wanajiuza' watakuparua hapa...
Wanawake wa maofisini ni malaya kuliko hata wale wa club ambience...
i do concur....maana siku hizi ukitaka upate goma lazima ukubali mizinga hilo la kwanza kabisa. pili ata ukitaka kuoa wazazi watakuuliza una nini na unafanya nini?
Kijana.. Una Tembo Card MasterCard??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
i do concur....maana siku hizi ukitaka upate goma lazima ukubali mizinga hilo la kwanza kabisa. pili ata ukitaka kuoa wazazi watakuuliza una nini na unafanya nini?
Kijana.. Una Tembo Card MasterCard??
ndio mambo yenyewe hayo. kazi tunayo waowaji
Mimi sinunui, nakopa......na kwa mujibu wa utafiti wa huyu mleta mada mie simo!
kwahiyo 99% ya wanaume wananunua?
Mtoa mada, huyo aliyekupa hiyo percentage, amekwambia utafiti wake aliufanyia nchi gani? Naogopa kupingana na hiyo 99% kwa sababu sijui anaongelea wanawake wa nchi gani...! Ila kama anaongelea TANZANIA.... Napingana nae KWA HERUFI KUBWAAA..!
je hata mama yako anajiuza?
hapana, mwanaume mmoja ananunua watatu, 99%/3 = 33%. kwahiyo 33% ya wanaume wananunua.kwahiyo 99% ya wanaume wananunua?