Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
kwani magufuli aligombea haya mambo gani ya ajabu kweli mnayaleta....hivi pale kumbe alishindanishwa magufuli na lissu???wale ni wanasheria wamemchagua rais wao wa sheria anayewafaa.
You are right. My optimism was a reflection from 88% win. I too,remain silent but with much trust to to TLS presda elect.'I believe our ties are much stronger than any passing disagreement or misunderstanding,or stances or finger pointing et al this is why I just read and quit.I'll opine at an appointed time,not now!
Kweli we hamnazoYaani Lissu kachaguliwa kuongoza chama cha kufa na kuzikana cha mawakili unataka Magufuli ajitafakari nini?acha kumlinganisha Rais wetu na wanaharakati wapuuzi
Hiki kweli chama cha kufa na kuzikana maana ni sheria pekee inayoweza kukulazimu kufa/kunyongwa endapo other causes of death are not ready. Pia sheria inaweza kuamuru uzikwe au usizikwe mpaka wanasheria wakubali au hata ikikaidiwa sheria yaweza kuamuru ufukuliwe. Mkuu umefikiria mbali kuhusu kufa na kuzikana!Yaani Lissu kachaguliwa kuongoza chama cha kufa na kuzikana cha mawakili unataka Magufuli ajitafakari nini?acha kumlinganisha Rais wetu na wanaharakati wapuuzi
sioni busara hizo kwa magufuli anaamini ktk mabavu na si uwezo wa kufikiri.Tuachane na tafiti za kupikwa za Twaweza, kuchaguliwa kwa Lissu kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika kwa ushindi wa 88% ni statement kubwa sana kwamba jamii ya Watanzania walioelimika wanamwelewa Lissu na vyama vya Upinzani kuliko wanavyomwelewa Magufuli, CCM na Polisi Wake...
Hiyo maana yake ni kuwa Magufuli hakubaliki miongoni mwa Wasomi na hata miongoni mwa watumishi wa Umma kwa sababu katika uchaguzi huo wa TLS mawakili na wanasheria wa serikali pia waliwakilishwa kwa wingi wa kutosha tu na kura zao wamempa Lissu...
Kwa hali hii, kiongozi mwungwana angetumia uchaguzi huu kama fursa ya kujitathmini na kujirekebisha na kuwa na nia ya kuendesha nchi kwa haki!
MhMsako unaanza kwa wasaliti waliomchagua Lissu wanyang'anywe Uanachama wa chama chetu!! Lazima tusafishe chama!! Simbachawene atakuwa wa kwanza aliwafundisha nini wanasheria wake mbona mambo yameenda hivi!??
Mkuu..Jamaa wanaomkatakamata wanajua fika kuwa wanampandisha umaarufu ndani ya upinzani. Amini usiamini wanajua hilo. Sasa Jiulize kwanini wanataka awe maarufu ndani ya upinzani? Kama hauna kifua usitafute jibu la hilo swali maana linaweza kuwa si zuri kwako.Kama Lissu angekuwa mpuuzi kama unavyodai basi mkuu wako wa kaya asingekosa usingizi kwa ajili yake
Hivi 5000 au 1600????88% ya 5000 wanajua TL ana hekima. Kipi kinakufanya wewe uamini hana hekima?
Tatizo la kuota ndevu ukiwa mtoto mchanga ndio hilo limekufanya uwe na mawazo mgando sio Kosa lako ni Kosa la waliokuleta duniani, shame on youYaani Lissu kachaguliwa kuongoza chama cha kufa na kuzikana cha mawakili unataka Magufuli ajitafakari nini?acha kumlinganisha Rais wetu na wanaharakati wapuuzi
Waliopiga kura walirepresent na wale hawakuwahi kufika mkutanoni.Hivi 5000 au 1600????
lakini hilo halitaondoa ukweli kwamba wantanzania wasomi hawalizishwi na mwenendo wa mkuu wa nchiSubiri kikao cha bunge mwezi ujao unaletwa muswada wa kuunda chombo kipya.Tundu Lissu ataongoza TLS kwa mwezi mmoja tu,baadae kinakuwa chama cha kukopa na kuweka
ipo kisiasa.Kama si mgombea na hayamuhusi kiherehere cha nini mpaka watake kuifuta hiyo TLS?
Ukikutana na Mwakyembe muulize kwa nini alikuwa anataka kuhakikisha rungu lake linafanya kazi kwenye hiki chama 'cha kufa na kuzikana' cha mawakiliYaani Lissu kachaguliwa kuongoza chama cha kufa na kuzikana cha mawakili unataka Magufuli ajitafakari nini?acha kumlinganisha Rais wetu na wanaharakati wapuuzi
Ipo kisiasa kuanzia lini?ipo kisiasa.
walipogombea wanasiasa km lisu.Ipo kisiasa kuanzia lini?