johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,015
- 142,055
Ndivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya
Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa
Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul
Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa
Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul
Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi