Siku nyingine Serikali inapotengeneza Miswada ya Sheria za Uchaguzi iwakodi Tundu Lissu na Kibatala Wawasaidie!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,015
142,055
Ndivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya

Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa

Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul

Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
 
Ndivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya

Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa

Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul

Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
Afadhali umetambua kuwa Chama Cha Mazezeta hamna vichwa. Mmejaza machawa ambao ni mzigo hawana akili ie Lucas mwashambwa kazi yake ni kusofia kila ujinga
 
Ndivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya

Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa

Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul

Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
Yes posho ziendelee kuchelewa uteme madini
 
Back
Top Bottom