Asili ya neno "mama"

Wakuu nauliza hivi asili ya neno mama ni wapi?

Kwa sababu waswahili wanaita mama, wahindi wanaita mama, wanaijeria wanaita mama,wazungu wanaita mama ,yani kwa kifupi lugha nyingi sana zinatumia hili neno

Sasa asili yake ni wapi??
 
Back
Top Bottom