maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Mwaka 1856 sultan sayyid said alikuwa na Mlinzi katili anaitwa Abdalah Juma alikuwa anatesa sana watu kuna siku mbuzi dume kubwa lenye pembe likampiga pembe bwana Abdalah na kumchana sehemu za Siri basi tangu siku hiyo likaanza kutumika neno beberu kwa mtu mwenye mabavu.