Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, sasa hivi naangalia mechi ya CAF champions league kati ya timu za ZESCO na Mbabane Swallows mjini Ndola, Zambia. Mara kaingia mchezaji wa ZESCO kipindi cha pili akiitwa Mwanza J.. Ikaniijia kichwani hapa kwetu tuna mji/mkoa tunaouita Mwanza na pana majina ya " SiMwanza " nikaona nitupie hapa JF kwa magwiji wa historia watatiririka kujua asili ya jina hili ni wapi?