Kama nitamkwaza mtu kwa namna yoyote naomba mnisamehe.
Huwa nasikia kati ya vipimo wanavyopimwa watu wanaojiunga na jeshi ni pamoja na kujua kama mtu amewahi kuingiliwa kinyume na maumbile kwa jinsia zote.
I want to know what do they look at to find out the status?
Just curious.
Huwa nasikia kati ya vipimo wanavyopimwa watu wanaojiunga na jeshi ni pamoja na kujua kama mtu amewahi kuingiliwa kinyume na maumbile kwa jinsia zote.
I want to know what do they look at to find out the status?
Just curious.