Ashakum si matusi...

Namge

JF-Expert Member
Oct 9, 2016
1,356
1,804
Wana jukwaa natumai mu wazima na mabukheri wa afya..
Bila kumumunya maneno kilichonileta jukwaani ni video ambayo inazagaa ya vijana Wawili ambao wamenaswa wakifanya vitendo vya kishoga..
Binafsi nmesikitishwa sana na vijana hawa wa Kiafrika..
Malezi ya watot wa kiume Yamekuwa magumu jaman tuwe makin
Zamani Watot wa kike ndo ilikuwa changamoto...mda wote roho juu kupata ujauzito.. Au kuanza ngono za utotoni..
Dada zangu walipokuwa wanaenda shule za bweni.. Safar nzima walipigiwa cmu kuhakik Kama wako on ryt truck..
Na wakifka huko wanapokelewa na kuhakiksha kweli wapo shuleni..
Upande wetu sis wa kiume ilikuwa tofaut kabsa.. Hatukuwa tunabanwa kabsa..
Sasa leo vijana wetu wa kiume wanataka tuwalee Kama kina binti Asha..
Yaani saiv Kijana wako akija na Kijana mwenzie unaanza kujiuliza ni rafik au ndo mkwe.. This is very bad asee
Wanaume wa Afrika huu si wakati wa kuvumilia hii kitu.. Turudisheni Jando Wakuu tunusuru vijana wetu..
Mabinti zetu wapate waume..
Ipo wapi fahali yetu Afrika.. Mungu atusamehe na atusaidie..
 
Devil in motion, even a Satan did not approached the naked Adam........
 
Hivi hii video ni TZ?

Hii ndo madhara globalization..
wazazi mnatazama porn kupitia simu na watoto wanachezea simu hizo
hawwawezi tofautisha which is which
 
Hahaaaaa....yaaani maboya kichizi...afu yakisikia mlango unafunguliwa yanajifanya kukojoa
 
Wana jukwaa natumai mu wazima na mabukheri wa afya..
Bila kumumunya maneno kilichonileta jukwaani ni video ambayo inazagaa ya vijana Wawili ambao wamenaswa wakifanya vitendo vya kishoga..
Binafsi nmesikitishwa sana na vijana hawa wa Kiafrika..
Malezi ya watot wa kiume Yamekuwa magumu jaman tuwe makin
Zamani Watot wa kike ndo ilikuwa changamoto...mda wote roho juu kupata ujauzito.. Au kuanza ngono za utotoni..
Dada zangu walipokuwa wanaenda shule za bweni.. Safar nzima walipigiwa cmu kuhakik Kama wako on ryt truck..
Na wakifka huko wanapokelewa na kuhakiksha kweli wapo shuleni..
Upande wetu sis wa kiume ilikuwa tofaut kabsa.. Hatukuwa tunabanwa kabsa..
Sasa leo vijana wetu wa kiume wanataka tuwalee Kama kina binti Asha..
Yaani saiv Kijana wako akija na Kijana mwenzie unaanza kujiuliza ni rafik au ndo mkwe.. This is very bad asee
Wanaume wa Afrika huu si wakati wa kuvumilia hii kitu.. Turudisheni Jando Wakuu tunusuru vijana wetu..
Mabinti zetu wapate waume..
Ipo wapi fahali yetu Afrika.. Mungu atusamehe na atusaidie..

Dunia imevaa mlwegezo
 
Hivi hii video ni TZ?

Hii ndo madhara globalization..
wazazi mnatazama porn kupitia simu na watoto wanachezea simu hizo
hawwawezi tofautisha which is which
Mkuu yaani kuna siku nipo kwenye public transport naona mzee na mvii kabisa anaangalia porn, nikasema tu hawa wazee ndio wanaharibu watoto
 
Ningependa Wakuu tufunguke na namna ya kukabili hili Janga...
 
acheni kuwalea watoto wenu kwa kutumi runinga mnawamaliza akili na saikolojia za asili zinakufa, watoto miaka nenda rudi wanaangalia tv tu milele na milele bila mpangilio maalum, na muache kuwafungia watoto ndani eti wakitoka nje wataharibika na makundi mabaya... mis nge mingi ina historia ya kuwekwa geti kali
 
Kiukwel inasikitisha sana.
Kijana mtu mzima na nguvu zake anaendekeza ushoga. Dhambi ambayo Mungu anaichukia sana ndo maana watu wa sodoma na gomora aliwatia kiberiti

Kikubwa ni kuwacontrol watoto na vijana katika malezi ya Kiafrika. Cyo kuiga yale ya wazungu ambayo kwao maadili yalishabaki kuwa historia.

Wazazi pia wasimame katika nafasi zao. Kuchunguza kwa makini tabia na mabadiliko ya watoto.

Mimi nimewahi kukuta watoto wadogo wa kiume wameshikishana kuta. Nikachukua hatua ya kuwachapa. Lakini nilichokiambulia ni matusi kutoka kwa mama wa mtoto mmja kati yao.
 
Halafu cha kushangaza hao wajinga bila aibu wanafanya uchafu wao kwenye vyoo vya public. They are real stupid
 
acheni kuwalea watoto wenu kwa kutumi runinga mnawamaliza akili na saikolojia za asili zinakufa, watoto miaka nenda rudi wanaangalia tv tu milele na milele bila mpangilio maalum, na muache kuwafungia watoto ndani eti wakitoka nje wataharibika na makundi mabaya... mis nge mingi ina historia ya kuwekwa geti kali
Duuh
 
Kiukwel inasikitisha sana.
Kijana mtu mzima na nguvu zake anaendekeza ushoga. Dhambi ambayo Mungu anaichukia sana ndo maana watu wa sodoma na gomora aliwatia kiberiti

Kikubwa ni kuwacontrol watoto na vijana katika malezi ya Kiafrika. Cyo kuiga yale ya wazungu ambayo kwao maadili yalishabaki kuwa historia.

Wazazi pia wasimame katika nafasi zao. Kuchunguza kwa makini tabia na mabadiliko ya watoto.

Mimi nimewahi kukuta watoto wadogo wa kiume wameshikishana kuta. Nikachukua hatua ya kuwachapa. Lakini nilichokiambulia ni matusi kutoka kwa mama wa mtoto mmja kati yao.
Polee Mkuu.. But u played your part...

Hii kitu inatsha.. Binafsi napenda sana watot wa kiume.. Vitu kama hivi vinantsha.. Something must be done..
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom