Kulimaliza tatizo ambalo lilikuepo tangu enzi za Roma ya kale hakuhitaji matamko kama ya viongozi wa kisiasa.
Tunaweza kutumia roho mbaya kama ya Mugabe, Zimbabwe, au kusimamia sheria ipasavyo na kuacha kutoa matamko yasiyokamilika.
Wanawake wanachangia sana kuaribu hawa watoto. Mtoto kama uyu anatengenezewa mazingira ya kiakili kua nan badae? Pia wanawake wanawapenda sana awa watu. Imagine Superstar Wakike ambae ndo kioo cha jamii anampost Shoga, anamaanisha nn?
Hali ni mbaya sana mtaani mpaka MTU anajisifu kwa kubokoa dume mwenzie.
This isn't a Promo bro.. Mda wa kuchukulia poa umeisha.. We should talk..
Hao vijana Kama sio kupigwa video ya Siri.. Ukikutana nae barabarani huwez hata kufikiria mbali..
Na ndo ivo vijana wetu hatuendi nao chooni..
The time to speak vigorously against it it's now...no more hides wakat mdudu kishaingia na anatafuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.