Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,815
- 4,565
Mwenyekiti wa bendi ya African Stars (Twanga Pepeta), Asha Baraka akipokea fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
=====
Asha Baraka alikua Mkurugenzi wa bendi ya Twanga Pepeta. Ameiongoza bendi hiyo kwa zaidi ya miaka 20.
Asha Baraka alikua Mkurugenzi wa bendi ya Twanga Pepeta. Ameiongoza bendi hiyo kwa zaidi ya miaka 20.