Mnama
Platinum Member
- Oct 13, 2010
- 3,448
- 3,619
Pole sana Mkuu National Anthem . Mungu akawe faraja kwako katika hili pia.
Mungu awatie nguvuHabari !
Natoa Shukrani Kwa wote Kwa faraja na ushirikiano ambazo nimeupata kutoka kwenu.
Kilicho fanya furaha yangu kukamilika katika maisha, kuja na kuondoka ( G & G ), imenitesa ila nimeikubali pia ili maisha mengine yaendelee.
Asanteni sana, siwezi taja majina ya mmoja mmoja ila nita mtaja huyu member Glenn kwasababu neno lake ambalo alinipatia leo mchana lilinitafakarisha (baada ya yeye kulitafakari pia Jana usiku) lime nifundisha kitu ambacho nilikuwa nimesahahu.
Usiku mwema na asanteni Kwa UPENDO
Tushukuru Kwa yote