florence
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 423
- 161
Leo nimerudi jukwaani kutoa matokeo ya ushauri wenu mlionipa kwenye post yangu iliyotaka mnipe ushauri kwanini nakuwa siconcentrate na comfidence. Nimefuata ushauri wenu na nawashukuru sana kwa ushirikiano wenu kwani nimeshahudhuria mikutano kadhaa na kuwasilisha mada kadhaa naona nimeimprove kwa kiasi kikubwa ila kitu kingine ambacho cjakielewa ni baada ya kuwasilisha mada zangu watu wanakuwa hawana maswali ila wanaonyesha nyuso za tabasamu, ina maana wameridhika na wameelewa au hawajaelewa? Endeleeni kunisaidia mwenzenu.
God Bless you
God Bless you