Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
Habari zenu!!
Kama mtakumbuka nili post miezi minne iliopita kwamba mke wangu hazai kutokana na sindano za majira alizochoma.Niliangaika sana katika Hospitali mbalimbali kama Kariuki,mhimbili na Amana bila mafanikio.Humu jamii kuna baadhi ya watu walinishauri niende kwa watu wanaotoa dawa za miti shamba,kwa kweli nilikuwa nikiwadharau sana watu hawa kutokana na kwamba kuna baadhi yao nilishaenda kwao bila mafanikio japo kwenye Tv na maredio walijitangaza sana kwamba wanaweza.Nilifikia hatua kwamba nimwache mke wangu lakini nilikumbuka tulikotoka nikaona hilo jambo ni gumu sana ikabidi niangaike zaidi,namshuru Mungu nilimpata mtu mwenye dawa za miti shamba alimpa mke wangu dawa akamwambia atashika mimba ndani ya mwezi wa kunywa dawa au mwezi utakaofwata,Namshukuru Mungu mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja kwa sasa,Huyu mtu alienipa dawa si mganga wa kienyeji na hapigi ramli anachotoa ni dawa tu tena anaichemsha.Napenda niwaambie watu ambao wako katika ndoa na hawajapata mtoto na wanahitaji wasisite kuwasiliana na mimi ila uwe umeshaenda kwa madaktari bingwa wewe na mwenzi wako na ikathibitika kwamba wote mna uwezo wa kuzaa ila hamjazaa,tena mje na cheti wote wawili kutoka kwa daktari kuonyesha wote ni wazima.Kama mke alichoma sindano,vidonge au vijiti au chango asisite kuniona,kumbuka hamna ramli.Namba yangu ya simu ni 0784 942744. Kama hutakuja na cheti cha daktari kuonyesha una uwezo wa kuzaa naomba usinitafute kwa maana sitakusaidia.
Kama mtakumbuka nili post miezi minne iliopita kwamba mke wangu hazai kutokana na sindano za majira alizochoma.Niliangaika sana katika Hospitali mbalimbali kama Kariuki,mhimbili na Amana bila mafanikio.Humu jamii kuna baadhi ya watu walinishauri niende kwa watu wanaotoa dawa za miti shamba,kwa kweli nilikuwa nikiwadharau sana watu hawa kutokana na kwamba kuna baadhi yao nilishaenda kwao bila mafanikio japo kwenye Tv na maredio walijitangaza sana kwamba wanaweza.Nilifikia hatua kwamba nimwache mke wangu lakini nilikumbuka tulikotoka nikaona hilo jambo ni gumu sana ikabidi niangaike zaidi,namshuru Mungu nilimpata mtu mwenye dawa za miti shamba alimpa mke wangu dawa akamwambia atashika mimba ndani ya mwezi wa kunywa dawa au mwezi utakaofwata,Namshukuru Mungu mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja kwa sasa,Huyu mtu alienipa dawa si mganga wa kienyeji na hapigi ramli anachotoa ni dawa tu tena anaichemsha.Napenda niwaambie watu ambao wako katika ndoa na hawajapata mtoto na wanahitaji wasisite kuwasiliana na mimi ila uwe umeshaenda kwa madaktari bingwa wewe na mwenzi wako na ikathibitika kwamba wote mna uwezo wa kuzaa ila hamjazaa,tena mje na cheti wote wawili kutoka kwa daktari kuonyesha wote ni wazima.Kama mke alichoma sindano,vidonge au vijiti au chango asisite kuniona,kumbuka hamna ramli.Namba yangu ya simu ni 0784 942744. Kama hutakuja na cheti cha daktari kuonyesha una uwezo wa kuzaa naomba usinitafute kwa maana sitakusaidia.