Baada ya kuteseka sana, na hatimaye kufanikiwa kupata ujauzito, nilitegemea atamshukuru mungu, na kulipa fadhila hiyo kwa kuwaelezea wenye shida mahali huduma hiyo inapopatikana.yaani unanitibua unavyokomalia uoneshwe vyeti kama wewe ndio mtoa hiyo dawa. We peleka watu wakapewe hicho kikombe mwenzio loliondo mbona hakuwa na hiyani. Aaaaah punguza vikwazo
yaani unanitibua unavyokomalia uoneshwe vyeti kama wewe ndio mtoa hiyo dawa. We peleka watu wakapewe hicho kikombe mwenzio loliondo mbona hakuwa na hiyani. Aaaaah punguza vikwazo
Appoh.Sifa ya mtanzania ni uelewa mdogo japo si wote ila wengi.hili tangazo la biashara mbona halijalipiwa
cheka mwaya huyo ndo msomi mwenye kazi nzuriiiiiiiiiiii
hahahaaaaa!!mi mbavu sina jamani!
Kama utaweza kumfikia sawa tu ila ukipitia kwangu ni lazima unionye hivyo vitu ili kuepuka lawama,isije ikawa wewe ni mgumba alafu ukanipa lawama eti mimi ni tapeli
kumbe wewe ndio mgumba.napenda kueshiwa.mimi nina kazi yangu.
Asante Geen.Hongera sana maana naikumbuka sana hiyo topic
Kama utaweza kumfikia sawa tu ila ukipitia kwangu ni lazima unionye hivyo vitu ili kuepuka lawama,isije ikawa wewe ni mgumba alafu ukanipa lawama eti mimi ni tapeli
kumbe wewe ndio mgumba.napenda kueshiwa.mimi nina kazi yangu.
Hongera..! Ila mimi nadhani ingekuwa vema ungetoa namba ya simu ya huyo mtaalamu kuliko kutoa namba yako..!
Habari zenu!!
Kama mtakumbuka nili post miezi minne iliopita kwamba mke wangu hazai kutokana na sindano za majira alizochoma.......,Namshukuru Mungu mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja kwa sasa,,.
Mkuu ulichokosea wewe kwenye thread yako ni kuahidi kutoa dawa, kutaka watu waje na cheti cha daktari kuonyesha ukamilifu wao wa uzazi, na kubwa kutoa namba yako badala ya namba ya mtaalamu wa tiba.Mimi dawa sitoi ila ukitaka nikuelekeze kwa mtoa dawa ni lazima wewe na mwenzio unionyeshe kwamba mna uwezo wa kuzaa ili kuepuka lawama,kuna watu wanakuwa na matatizo ya uzazi kisha huwaficha wenzi wao.Sitaki lawama ndio maana nimeweka sharti hilo.Mimi nina kazi yangu na sijui dawa ila ukitaka udhibitisho nilivyoangaika mke wangu kupata upo.