Asante tigo

Asante tigo

mikumiyetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
1,312
Reaction score
947
0c84075e6c9c50f22cc6ea5d3508e86f.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa upo mwaka wa mwisho ww
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa upo mwaka wa mwisho ww
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wanazingua hawa cjui manji nae kahamua kutukomesha na yeye
 
Hivi SMS 15000 kuna watu wanazimaliza kweli😀😀😀😀😀😀😀😛😀😀😀
 
Hiki kitu nimetoka kukifikiri Jana.

Jiulize, siku hizi hizo line za chuo zinauzwa mtaani, tena hata kwa wasio wana chuo, means itafika kipindi kila mtu atakuwa nayo, na hapo ndipo utakapokuwa mwisho wa offer.

Mimi labda niwashauri Tigo, badala ya kuita line za chuo au sijuhi university extreme, now waite tuu line za offer... Full stop...

Au ikiwezekana watangaze kuwa ili kupata hiyo offer, jiunge kwa kulipia hiyo buku tatu... Na sio mambo ya kuanzia usajili kwa ajili ya kupata hiyo offer..
 
Back
Top Bottom