Asante Rwanda kwa kusaidia Msumbiji. Wachana na Waoga wengine waliokataa kutuma jeshi huko

Tony254

JF-Expert Member
May 11, 2017
16,017
16,427
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao

 

Mozambique, Rwanda Armies Retake Key Jihadist-held Town​


By AFP - Agence France Presse
August 8, 2021


AFP1642025391729738192776879853397186564291---1.jpg

Rwanda deployed 1,000 troops to help Mozambique combat jihadist forces​

Simon Wohlfahrt

ADDS Mozambique defence ministry quotes, background

Mozambican forces backed by Rwandan troops on Sunday said they had driven out jihadists occupying the key port town of Mocimboa da Praia in the gas-rich north of the country.

Mozambique's defence ministry confirmed an earlier tweet by Rwanda's army that the joint force had wrested control of the town on Sunday morning.

They now control government buildings, the port, airport, hospital, and other key installations, Colonel Omar Saranga, a ministry spokesman, told a press conference in the Mozambican capital Maputo.

The port town, from where the first Islamist attacks were staged in October 2017, has since last year become the de-facto headquarters of the Islamic State-linked extremists, locally referred to as Al-Shabab.

Mocimboa da Praia "was the last stronghold of the insurgents" and its recapture marks "the end of the first phase of counter-insurgency operations," Colonel Ronald Rwivanga, a spokesman for the joint military force, said in a text message.

Mozambican forces have been struggling to regain control over the northern Cabo Delgado province, site of one of Africa's biggest liquefied natural gas project -- a $20 billion site operated by French energy major Total.

Rwanda sent 1,000 troops last month to shore up the Mozambican military.

Last week they claimed their first success since deploying, saying they had helped the Mozambican army regain control of Awasse -- a small but also strategic settlement near Mocimboa da Praia.
 
Aaah hivi kweli Kenya nao walituma jeshi lao eeh hongereni kwa kuwasaidia msumbiji.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Msumbiji sio jirani yetu. Nyinyi Msumbiji ni jirani yenu ila kwa uwoga wenu mnajificha chini ya kitanda. Wacha jeshi la Rwanda lisafishe eneo hilo na kung'oa kwekwe zote.
 
Kitu kimoja usicho fikiria tu!

Wale ni wanajeshi ambao wanamafunzo ndio maana wamekwenda huko hata kenya ingeweza kwenda na nchi yoyote na ingetokomeza.
Sema wale magaidi hawana mafunzo na bado wachanga tokea kufanya hayo yote.

Ingekuwa kundi lina miaka 10 ilo la kigaidi hayo usingesema hapa
 
Hao washenzi kabla ya kwenda Msumbiji walikuwa Tz, Kibiti huko ( MKIRU) , jeshi la Tz lilifanya kazi yake na kuwasambaratisha wote na wachache kukimbilia Mozambique. Tz tumechoka kufanya kazi za kanisa, kila mtu abebe jukumu la usalama ndani ya nchi yake, kazi tuliyoifanya 1960s - 80s inatosha.
 
Unawakumbuka M23!!waliokuwa wanaleta balaa Congo?Rwanda ilikuwa wapi wakati huo?mpaka TPDF,walipotia timu,na kuweka Hari shwali.
Wataalam wa hizi kazi wapo wanapiga kazi achana na hii takataka ya kikunya.

According to news publication Noticias, the aircraft made several flights between Sunday and Tuesday, delivering weapons and troops.



 
Msumbiji sio jirani yetu. Nyinyi Msumbiji ni jirani yenu ila kwa uwoga wenu mnajificha chini ya kitanda. Wacha jeshi la Rwanda lisafishe eneo hilo na kung'oa kwekwe zote.
Jamaa watakwambia kilichokuta magaidi kule msumbiji hakisemeki
 
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao



1. Baadhi ya magaidi walioko Mozambique walikuwepo maeneo ya kusini mwa Tanzania.

Ni baada ya kufurumushwa huku Tanzania ndipo walipozidisha vurugu na uharibifu huko Mozambique.

Kwa hiyo Tanzania lazima ihakikishe kwanza magaidi hawana nafasi ya kurudi huku na ku-create a safe haven and rear base in our territory.

Kwa hiyo kama hatuonekani Mozambique itakuwa ni kwasababu hizo nilizozieleza hapo juu.

2. Tanzania huwa ni wasiri sana linapokuja suala la military deployment, especially outside our territory.

Yaani ukisikia askari wa Tanzania yuko nje basi wanao ripoti ni watu wa nje, sio vyombo vya habari vya Tanzania.

Kwa mfano, miaka ya 90 Tanzania iliwahi kupeleka military instructors DRC lakini haikuripotiwa mahali popote.

Pia kulikuwa na walinzi wa Rais Desire Kabila toka Tanzania, lakini haikutangazwa popote. Watanzania tuliona kwenye picha tu kijana aliyepata kuwa mlinzi wa Mwalimu Nyerere alikuwa akimlinda Rais Desire Kabila.

Ni mission moja tu, ya Eastern DRC, ndio nimeona ushiriki wa askari wa Tanzania umetangazwa, lakini naamini ni kwasababu ni mission ya United Nations.

Kwa hiyo, inawezekana Watanzania wako Mozambique is some capacity lakini kama ilivyo utamaduni wetu huwa hatutangazi.
 
Jamaa watakwambia kilichokuta magaidi kule msumbiji hakisemeki
Kumbe we ngedere unakumbukumbu ya yale tunayo waambia kule kibiti magaidi hawana hamu na jwtz tulikuwa tunawachoma mishikaki tunakula na ugali pamoja nao ,,,,mnakamatwa magaidi kama 20 mnakatwa mikono inachomwa mishikaki kisha tunakula na ugali pamoja nao
 
1. Baadhi ya magaidi walioko Mozambique walikuwepo maeneo ya kusini mwa Tanzania.

Ni baada ya kufurumushwa huku Tanzania ndipo walipozidisha vurugu na uharibifu huko Mozambique.

Kwa hiyo Tanzania lazima ihakikishe kwanza magaidi hawana nafasi ya kurudi huku na ku-create a safe haven and rear base in our territory.

Kwa hiyo kama hatuonekani Mozambique itakuwa ni kwasababu hizo nilizozieleza hapo juu.

2. Tanzania huwa ni wasiri sana linapokuja suala la military deployment, especially outside our territory.

Yaani ukisikia askari wa Tanzania yuko nje basi wanao ripoti ni watu wa nje, sio vyombo vya habari vya Tanzania.

Kwa mfano, miaka ya 90 Tanzania iliwahi kupeleka military instructors DRC lakini haikuripotiwa mahali popote.

Pia kulikuwa na walinzi wa Rais Desire Kabila toka Tanzania, lakini haikutangazwa popote. Watanzania tuliona kwenye picha tu kijana aliyepata kuwa mlinzi wa Mwalimu Nyerere alikuwa akimlinda Rais Desire Kabila.

Ni mission moja tu, ya Eastern DRC, ndio nimeona ushiriki wa askari wa Tanzania umetangazwa, lakini naamini ni kwasababu ni mission ya United Nations.

Kwa hiyo, inawezekana Watanzania wako Mozambique is some capacity lakini kama ilivyo utamaduni wetu huwa hatutangazi.
Ni sawa. Umejieleza vizuri.
 
Kumbe we ngedere unakumbukumbu ya yale tunayo waambia kule kibiti magaidi hawana hamu na jwtz tulikuwa tunawachoma mishikaki tunakula na ugali pamoja nao ,,,,mnakamatwa magaidi kama 20 mnakatwa mikono inachomwa mishikaki kisha tunakula na ugali pamoja nao
Vita mnavyoviweza ni kusambaratisha wahuni na wapinzani tu
Viva rwandan army
Jamaa tulisifiwa hapa kumbe jamaa bado walikua wanadunda tu
 
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao

Sio kila operation ya kijeshi lazima iwekwe public , ushaambiwa ni magaidi , hapo ujue Kuna inshu ya National security pia
 
Wataalam wa hizi kazi wapo wanapiga kazi achana na hii takataka ya kikunya.

According to news publication Noticias, the aircraft made several flights between Sunday and Tuesday, delivering weapons and troops.




Wapo kitambo huko
 
Unawakumbuka M23! Waliokuwa wanaleta balaa Congo?Rwanda ilikuwa wapi wakati huo?mpaka TPDF, walipotia timu,na kuweka Hari shwali.

Hehehe!! Huwa nacheka sana pale mnajisifia kupga wale watoto wa M23 and wanywa gongo wa Kibiti, siku mkipambana na mashababi bin shetwan wenyewe wakujilipua mabomu ndio mje muongee......
Nyie mumeweka wanajeshi wenu wa kuonekana tu kwenye matamasha ya kitaifa wakipasua matofali.....
 
Asked about updates as regards the expected SADC forces deployment, Chume noted that only Rwanda and Mozambique were currently fighting the terrorists.

"SADC is not here (yet) in the area of operations. When they get here, we will operate with them. There is a place for everyone because we want to liberate Cabo Delgado."

Hio ni leo,huyo aliyesema hayo Ni Maj Gen Christorão Artur Chume, a commander of the Mozambique Armed Defence Forces (FADM).

Naona Sadc inataka Ije iibuke mwishoni ichukue credits za ushindi yaani Kama vile steringi wa kwny movie za kihindi.,😄😄😄
 
Back
Top Bottom