Asante rais Magufuli, Wakuu wa Wilaya na Mikoa, walijua umewateua wapambane na Upinzani

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Heshima kwenu wakuu,

Natumia nafasi hii kuipongeza Serikali ya Magufuli kwa kuwakanya na kuwaonya Wakuu wa Wilaya na Mikoa kuhusu Vitendo vyao. Walikumbushwa Kazi zao na Mipaka yao na kambiwa waziwazi bila kupepesa macho kwamba hamjateuliwa kupambana na upinzani.

Walikumbushwa pia Matumizi ya madaraka yao wakikumbushwa kwamba cheo ni dhamana. "Wapo Wakuu wa Mikoa, Wilaya watumiao madaraka vibaya. Tumetoa mafunzo, maelekezo kwao waifahamu mipaka, kutekeleza majukumu yao" amesema NAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo.

Nawapongeza kwa hilo. Sasa hivi wametulia hawa wakuu. Walikuwa wanashindana kunyanyasa Upinzani na kujenga chuki kati ya Vyama vya upinzani na Serikali. Kiasi Wapinzani walikuwa wnajiona sio Watanzania

Hii hali imedhibitiwa mapema, ingeleta maafa.
 
KINACHONISHANGA NI HAWA WAKUU WA WILAYA NA MIKOA HIVI KAZI YAO KUBWA SASA HIVI NI KUPAMBANA NA UPINZANI????KWELI TUTAFIKA??!!
Wakuu wa mikoa ni walinda usalama,wahamasisha maendeleo na pia wanasimama badala ya serikali na hawa KAMWE HAWAPASWI KUJIINGIZA KATIKA SIASA.

Tags Gambo,Makonda n.k
 
Heshima kwenu wakuu,

Natumia nafasi hii kuipongeza Serikali ya Magufuli kwa kuwakanya na kuwaonya Wakuu wa Wilaya na Mikoa kuhusu Vitendo vyao. Walikumbushwa Kazi zao na Mipaka yao na kambiwa waziwazi bila kupepesa macho kwamba hamjateuliwa kupambana na upinzani.

Walikumbushwa pia Matumizi ya madaraka yao wakikumbushwa kwamba cheo ni dhamana. "Wapo Wakuu wa Mikoa, Wilaya watumiao madaraka vibaya. Tumetoa mafunzo, maelekezo kwao waifahamu mipaka, kutekeleza majukumu yao" amesema NAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo.

Nawapongeza kwa hilo. Sasa hivi wametulia hawa wakuu. Walikuwa wanashindana kunyanyasa Upinzani na kujenga chuki kati ya Vyama vya upinzani na Serikali. Kiasi Wapinzani walikuwa wnajiona sio Watanzania

Hii hali imedhibitiwa mapema, ingeleta maafa.
Wapi kasema hivyo
 
Back
Top Bottom