Asante Rais Magufuli kwa kutuletea Ndege

Asante Rais Magufuli kwa kutuletea Ndege

Pongezi kubwa kwa serikali juu ya tetesi za ununuzi wa ndege. Ni kweli tuna uhitaji mkubwa sana wa ndege kuliko ajira katika taifa hili hongereni sana.
Kipaumbele kwa sasa ni ndege siyo viwanda tena.
 
Pongezi kubwa kwa serikali juu ya tetesi za ununuzi wa ndege. Ni kweli tuna uhitaji mkubwa sana wa ndege kuliko ajira katika taifa hili hongereni sana.
Kipaumbele kwa sasa ni ndege siyo viwanda tena.

Sasa kwani Shirika la ndege halizalishi ajira?
 
Sasa zinanunuliwa za nini kama viwanja vyenyewe hakuna?
Nipande ndege kwenda wapi! Kukata kuni?
Au kuchimba viazi vya mabolwa?
Wewe kweli Juha , viwanja hakuna una uhakika??? Kila mkoa Tanzania unaviwanja vya ndegw ukitoa mikoa mipya tu sasa unasemaje viwanja hakuma?? Sema sivifahamu viwanja vya ndege na kwa kukusaidia na ndo maana zilinunuliwa Bombardier Q400 ili ziwezw kutua katika viwanja vyetu usipige kelele mitandaoni sababu ya bando
 
Wewe kweli **** , viwanja hakuna una uhakika??? Kila mkoa Tanzania unaviwanja vya ndegw ukitoa mikoa mipya tu sasa unasemaje viwanja hakuma?? Sema sivifahamu viwanja vya ndege na kwa kukusaidia na ndo maana zilinunuliwa Bombardier Q400 ili ziwezw kutua katika viwanja vyetu usipige kelele mitandaoni sababu ya bando
Mimi sio ombaomba hata nisaidiwe, haiyumkini fikra zako zimegota, zimefika ukomo, kwa maana ni mpumbavu pekee hutumia akiba yake ya fedha kununulia Punda na mwanae akashindwa kumpeleka shule kwa kukosa ada.

Jifungie chumbani kwako utafakari utakubaliana na tafakuri yako kuwa kwenye kipindi hiki cha uchumi, kununua ndege ni upumbavu kiwango cha lami.
 
Mwanzoni walisema Magufuli hawezi sababu tatizo ni mfumo.

Baada ya kuanza kuwatumbua mafisadi wenzao wakasema ni nguvu ya soda.

Baada ya mwaka mzima kuisha huku sindano zikiwaingia kwa kasi ile ile na soda haiishi nguvu, sasa wameanza kupongeza!

Safi sana Yericko, natamani ufipa yote ipokee ubatizo wa moto kama uliopokea wewe na hatimaye kuungana na rais bora kabisa duniani kulijenga upya taifa la Tanzania.
 
Back
Top Bottom