BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,495
Shikilia hapo hapo Professor watu walitusema vibaya sana kwa kutuona tuna maisha magumu mara ooh atuli chakula kisa ubahili na kauli nyingi mbovu mbovu.
Unene sio afya ni ukaribisho wa magonjwa yasiyo ambukizwa
Unene sio afya ni ukaribisho wa magonjwa yasiyo ambukizwa