Asante mwanamke

Asante mwanamke

sembe at work.
siwezi kukisifia hiki kiumbe labda nikiwa nataka mgegedo wake nikipata tu off i go.mungu wao alishakufa long sana wamebakia na shetani tu
mmmh mkuu walikutenda nn mbna umefunguka mazito hvo mkuu?
 
Thank you mama by Sizzla iwe dedication kwa wamama wote
m.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=32ZI1yWUdNc
 
Wapo wanaostahili sifa kemkem lakini wengine hizi sifa haziwafai hata chembe.
 
Dada tafadhali ni PM namba yako nimekuelewa sana kwa hii comment yako
....hahahahahahahahaha.......mkuu umenichekesha sana, inaonekana unauelewa wa hali ya juu sana, hata mimi nilimuelewa ebu changamkia hiyo mambo ukagegede w'end hii maana hawa vijana sio waelewa kabisa.
 
Back
Top Bottom