Asante Mungu, asante JF. Nimepata ajira!

Asante Mungu, asante JF. Nimepata ajira!

Wild fauna

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
461
Reaction score
189
wadau mambo vp? Niko hapa kuwa encourage kutokata tamaa katika kusaka ajira sababu after long struggle nimefanikiwa kupata job serikalini. Nashukuru jf kwan nililipata tangazo lile hapa hapa and lord hear my felt need. Muhimu omba mungu sana na saka fursa sana. Nawatakia kila laheri katika harakati za kusaka ajira, no pain no gain
 
wadau mambo vp? Niko hapa kuwa encourage kutokata tamaa katika kusaka ajira sababu after long struggle nimefanikiwa kupata job serikalini. Nashukuru jf kwan nililipata tangazo lile hapa hapa and lord hear my felt need. Muhimu omba mungu sana na saka fursa sana. Nawatakia kila laheri katika harakati za kusaka ajira, no pain no gain
Hongera chapa kazi sasa
 
Hudumia watu vizuri hapo ulipo na usisahau kwamba iko siku nawe utauhitaji msaada kama anavyouhitaji huyo atakayekuja kwako.Kula rushwa ila sio kihivyoooo!
Nalog off
 
Sawa kabisa kwa hiyo tuendelee kulipa kodi kwa uaminifu ili uendelee kupata mshahara.

Mambo ya msingi...

1. Ukatoe shukrani kanisani kumshukuru Mungu

2. Chanagia na Jamii forum iweze kuwasaidia na wengine

Kila la kheri Mkuu.
 
Hongera sana Kalamazoo.dah mimi mwaka umekatika na miezi mitatu tangu nimalize chuo ila bado nasota na bahasha
 
Tupe moyo wengne bado tunaendelea kusuffer.HONGERA SANA jf Ndo mpango mzima
 
Hongera sana ila chapa kazi kwa sana. Upo wizara gani. We tuambie tu wizara yako cheo mie sitaki.
 
hongera ndugu,,,changien jf ili nasi iendelee kutuwezesha na hatimaye tufanikiwe....all the best
 
Fungu la kumi usimpe mchungaji wako, katoe mitaani kwa watu wenye shida ya kweli, sio kwa ma Rwakatale au Mzee wa upako ambao hawalali njaa.

Fungu la kumi huwa linatolewa kanisani, Ukipeleka fungu la kumi kwa yatima na wajane uanondoa maana ya fungu la kumi
usitoe sadaka kwa kuangalia mtu
 
Hongera ndugu kwa kupata kazi. Mshukuru Mungu na uwasaidie wengine. usiasahau mahali ambapo Mungu amekutoa.
Na hata kwa wale mnaotafuta kazi usikate tamaa unapoona mtu anafanikiwa hivi maana yake ni kuwa na wewe ipo siku utafanikiwa. Hata mimi pia niliwahi kupata kazi kupitia matangazo ya hapa JF nikaapply na kuitwa kwenye interview na nikaajiriwa miezi miwili baada ya kuanza kazi niliamua kuacha kazi hiyo baada ya kupata kazi niliyoipenda na yenye maslahi.
Kwa hiyo matangazo ya hapa usiyadharau, japo kuna wengine wanaweka matangazo ya kitapeli lakini pia kuna matangazo ambayo ni halisi
 
Back
Top Bottom