Good question. Sikutegemea kuwa Slaa ana price tag, hivyo siwezi shangaa tena nikisikia mwingine anenunuliwa. Maana wanasema a man has to feed his family
we Mobare matinyi kama wewe ni mzalendo mpona umekimbia nchi?
unajidai kuendesha harakati kwa remote,
kwa taarifa tu ni kuwa tulimuheshimu dr. lakini kwa aliyoyaonge juzi amechemka ameteleza,
kama ni mzalendo anawezaje kusubiri mapaka mgombea anachukua fomu, anatafuta wadhamini anarudisha fomu NNec na kuidhinishwa yeye kafungiwa na mkewe alafu anajitokeza muda muuda EL ameishakuwa mgombea, sisi tufanyeje?? tusipige kura au Necc wasitishae uchaguzi wagombea wote waenguliwe tuanze upya mchakato??
Mbowe mnafiki tena sana namkumbusha Dr,slaa alipoyasema hayo arumuru kwenye uchaguzi wa mp nasari mbona slishangilia na kupiga makofi,dhambi ya unafiki inawamaliza,