Asante ITV na kipindi cha dakika 45 kuhusu Taasisi ya Moyo, nimejifunza mengi

NTEGEYE Jr

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
322
286
Leo katika kipindi cha dakika 45 kilichoongozwa na Sam Mahela kwa ugeni wa Prof. Janabi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, nimejifunza mengi. Kwa dokezo la uchache wa niliyojifunza ni haya.

1. Kunywa Pombe nyingi kwa wakati mmoja, ni hatari kwa afya yako kwani husababisha Moyo kutanuka, Kumbuka Moyo ni Elastic kiasi ambacho siku moja utafikia UKOMO wa kutanuka zaidi ya size yake. Hapo ndio unasikia kifo cha ghafla.

2. Kitaalam, kama wewe ni Mnywaji wa pombe unatakiwa kunywa Pombe wastani wa chupa 2 tu kwa siku. Hata hivyo kila chupa, ichukue muda wa SAA 1. Mfano, kama unakaa KONA PUB au SAI SAI PUB masaa 2 basi unywe 2 tu.

LAKINI: Kwa wale wanaopenda kunywa pombe Kali kama Value, Whisk, Konyagi au GONGO ni hatari zaidi kwani ile inaenda kutanua moyo kwa nguvu. Kwa taarifa fupi tu ni kwamba, ukiona unakunywa pombe kwenye glass kidogo halafu unakunja SURA, basi ujue mwili unajaribu kukwambia kuwa "Kitu hicho hatari"

Kipindi cha Dk 45 kwa Prof. Janabi ni sehemu ya kwanza. Jumatatu wiki ijayo sehemu ya pili itaendelea.

MY TAKE: usiposikia kauli za wataalam, ukijiona wewe ni jeuri sana, mjanja sana na Jasiri zaidi utaisumbua familia yako itakukosa ghafla.

Natangulia JELA maana najua huo ni UCHOCHEZI
 
Nina watu zaid ya wanne ambao toka nazaliwa nawaona wakinywa gongo na kuvuta sigara mpaka Leo nimekuwa mkubwa amefariki mmoja tu tena Kwa ajali so me binafsi naweka hitimisho kama hivi. Vifo tukivihusaninisha na hizi sababu za kitaalamu ni fix. Neno langu sio sheria. Watu wafanye chochote na pombe hizi ni Zama za changanyikeni watu siku nyingi hawataki kumfuata MUNGU Sasa wafanyaje acha wanywe wanywe... Japo pombe ni GHARAMA.. Ningekuwa na uwezo ni washauri mujaribu na mjani asee mngefurahi Sana kujiunga chamani kwetu.. Let's roll my nigga
 
Nina watu zaid ya wanne ambao toka nazaliwa nawaona wakinywa gongo na kuvuta sigara mpaka Leo nimekuwa mkubwa amefariki mmoja tu tena Kwa ajali so me binafsi naweka hitimisho kama hivi. Vifo tukivihusaninisha na hizi sababu za kitaalamu ni fix. Neno langu sio sheria. Watu wafanye chochote na pombe hizi ni Zama za changanyikeni watu siku nyingi hawataki kumfuata MUNGU Sasa wafanyaje acha wanywe wanywe... Japo pombe ni GHARAMA.. Ningekuwa na uwezo ni washauri mujaribu na mjani asee mngefurahi Sana kujiunga chamani kwetu.. Let's roll my nigga
Lakini tusiwadharau wataalam
 
kufa utakufa tu hata usipo kunywa. wangapi wameumwa magonjwa ya kutanuka moyo ili hali hawakua wanywaji wa hizi liquor....
wakati nafanya Bachelor yangu Urusi nilikutana na pombe kali ambazo zijaziona mpaka leo hapa nyumbani.. na kuna Prof Wetu mmoja yeye tangu yuko highschool pennsylavania u.s.a huko ni anakunywa lakini mpaka mwaka jana anaokoka yupo vizuri mnoo hakuna hizo shida zenu..

 
Leo katika kipindi cha dakika 45 kilichoongozwa na Sam Mahela kwa ugeni wa Prof. Janabi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, nimejifunza mengi. Kwa dokezo la uchache wa niliyojifunza ni haya.

1. Kunywa Pombe nyingi kwa wakati mmoja, ni hatari kwa afya yako kwani husababisha Moyo kutanuka, Kumbuka Moyo ni Elastic kiasi ambacho siku moja utafikia UKOMO wa kutanuka zaidi ya size yake. Hapo ndio unasikia kifo cha ghafla.

2. Kitaalam, kama wewe ni Mnywaji wa pombe unatakiwa kunywa Pombe wastani wa chupa 2 tu kwa siku. Hata hivyo kila chupa, ichukue muda wa SAA 1. Mfano, kama unakaa KONA PUB au SAI SAI PUB masaa 2 basi unywe 2 tu.

LAKINI: Kwa wale wanaopenda kunywa pombe Kali kama Value, Whisk, Konyagi au GONGO ni hatari zaidi kwani ile inaenda kutanua moyo kwa nguvu. Kwa taarifa fupi tu ni kwamba, ukiona unakunywa pombe kwenye glass kidogo halafu unakunja SURA, basi ujue mwili unajaribu kukwambia kuwa "Kitu hicho hatari"

Kipindi cha Dk 45 kwa Prof. Janabi ni sehemu ya kwanza. Jumatatu wiki ijayo sehemu ya pili itaendelea.

MY TAKE: usiposikia kauli za wataalam, ukijiona wewe ni jeuri sana, mjanja sana na Jasiri zaidi utaisumbua familia yako itakukosa ghafla.

Natangulia JELA maana najua huo ni UCHOCHEZI
Kona Bar watakuruhusu unywe Bia Moja saa zima kweli uzuie meza na kiti muda wote huo eenh!
 
mie napinga hapo aliposema ''kitaalamu sie ni wanywaji pombe na tunywe chupa mbili kwa siku'',,, pombe apart from perspective za baadhi ya dini kuwa ni haramu (forbidden), ila pia ni miongoni mwa vitu vinavyosabibisha cancer (carcinogen) na pia ni adui mkubwa wa ini (liver).
Fall in love with your liver, say NO TO ALCOHOLS, Stay Healthy.
 
Ushauri kwa huyu jamaa aendelee kuvuta sana sigara na viroba misho WA Siku atajua neno lake Sheria au laaa
 
Nina baba yangu mdogo toka namfahamu yeye ni mtu wa tungi tungi mpaka leo hii mi naona mapenzi ya Ruwa yakitimia hamna namna unasepa tu
 
Back
Top Bottom