Asante ITV kwa kuonesha ibada ya kumuombea Lissu

Asante ITV kwa kuonesha ibada ya kumuombea Lissu

ata mimi nimefurahi. herode nq mtoto wake wamebaki wamebung'aaa
 
Bavicha wajinga sana, mna mawazo ya kijinga sana!!
Mnaunga matukio ya kwa point za kijinga sana!!
 
Jambo muhim sana ni kwamba Mungu ampe siha mhusika,pamoja na kwamba no mwanasiasa na anakinzana na watu ni baba wa familia na binadamu
 
kuna mda nawaza sana napia nashukuru haya mambo yanayofanyika yamefanyika kwa kasi kipindi ata watu wanauelewa kidogo

matukio makubwa na ya aibu yanayotokea watu tunayapata kwa wakati muafaka ata kama ikichelewa sio kiviilee

sikui ingekuaje huu utawala ungekuwa kipindi hata smart phon hazijaja na mitandao ingekua haijatawala kama sasa

sijui ingekuaje haya mambo yangekua yanafanyika kipindi ambacho baadhi ya vijiji vingi redio ipo kwa mjumbe na tv kwa diwani tuu

huwa nashukuru sana Mungu kutufunulia haya kipindi watu tunauelewa mkubwa kama huu kipindi kilichoenea mitandao ya kijamii kama sasa

watu mashuhuri kama lisu wangepotezwa bila ya wananchi kutambua chochote mambo mengi yangefanyika bila kutambua chochote na hata kama tungejua basi ni baadhi ya watu wachache sanaa

Mtu unapoongoza jamii yoyote kwa sasa kaa chini tafakari sana unawaongoza watu wakiwa katika kipindi gani na uelewa wao na utandawazi kwa kipindi icho unachokiongoza kipoje usilete uongozi wako wa miaka iyo wakati tupo kwenye ulimwengu mwingine.
 
Mawazo gan ya kijinga? Eleweka.....huenda ukawa ww ndo unajitukana barafu ya moto
 
Back
Top Bottom