Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

"mali ya mtu mmoja au kikundi cha watu wachache ambao wao ndio huwa sheria, anayepinga watakayo huoneshwa cha mtema kuni"
Sio kila siku ni Jumapili,kuna saa na siku ubao utasimeka tofauti na mazowea!

Kwa kina Ayatolah-khomein,hawakutarajia wanachokiona leo pale Tehran!

You Can Fool Some People's SomeTime,But You Cant Fool All The People at All Time!
 
Kusifu sio kosa,bali kusifu yale yasiyostahili ndio kosa!
Wala hatukatai kusifu au kusifiwa,bali tunakataa sifa za "Uongo" na "Unafiki"
 
Usipoijua historia yako vizuri huwezi kujua ulipotoka, ulipoangukia na unapoelekea.
Na aliyewaroga watanzania ni huyu anayewaambukiza ugonjwa wa kupigana na historia,badala ya kupambana na yaliyopo kwa sasa!

Mnauziwa ubaya wa waliopita,huku mkiliwa na waliopo,kwa kujikaanga na mafuta yenu wenyewe!
 
Bashiru ni mwiba na Bashiru ni mwamba. Kuna vijeba na watoto wadogo ndani ya CCM wanadhani wanaweza kumteteresha kirahisi Bashiru, huyu mwamba kubwa lao.

JK anamwelewa vizuri sana Bashiru kama yeye Bashiru anavyomwelewa vizuri sana JK na CCM yetu. Amekuwepo hata kabla ya "REDET" na akawepo baada ya "mtandao" na sasa yupo nyakati za "bibi tozo".

Akiamua kusimama wa kuweza kusimama naye hawafiki hata 5 kwa CCM yetu ya leo, chama anakijua na chama kinamjua nje ndani. Chama kimemtumia na chama kakitumikia kwelikweli Bashiru

Mengi anayo Bashiru ila tupeane nafasi katika kuongea
 
Na huo ndio ukweli halisi ambao wana CCM- Saa100 hawataki kuuelewa!
Sijui ni kwa bahati mbaya au ni kwa kujitoa ufahamu shauri ya tamaa ya mali!

Muda ndio utakaowafundisha ukweli halisi.
 
Wahuni wa sa100 hao ...
Hofu yao ni kifo cha JPM
 
Kipekee, napenda kumpongeza Dr. Bashiru Ally kwa kuyatoa MAJOKA pangoni, maana kwa kauli moja tu aliyoitoa kukemea MAJANGILI yanayoitafuna Nchi yetu, MAJOKA mengi yamejitokeza huku yakikemea, kulaumu na kukejeli bila kujibu hoja.
 
Kabisa nampa hongera sana kwake. Na Asimamie msimamo huo huo asiyumbishwe kabisa na kelele za hao kenge wengine walamba miguu
 
Bashiru anakosa moral authority ya kukosoa maana yeye ndio muasisi wa kishindo cha awamu ya gwalla yaani ilikuwa ni kero hata kuangalia runinga ya taifa sababu ilizidi sasa ni kama tulikuwa ni fascist state aisee, atulie sasa zama zake zilipita ama asubirie enzi zake zirejee.

Hata u KMK aliupata kimchongo na yeye anafahamu hilo.
 
We jamaa nimekudharau saana, unaonekana unateseka sana na umasikini sasa hasira zako zimehamia kwa watu wengine! mkuu pambana tafuta maisha majungu hayawez kukufikisha popote!
 
Sisi tutasimama na Dr Bashiru Mwanzo Mwisho !!

Tanzania inahitaji Akina Bashiru wakutosha

Achaneni na Hawa wapinzan uchwara na WanaCCM machawa ,mafisadi
Kaka Tanzania Hakuna upinzani. Vipo vyama maslaitu. Wewe umeona machungu yote tunayopitia watanzania umeona chama gani kinapaza sauti? Wamevimbiwa na Asali.

Magufuli Alisha washtukia kwamba ni wahunitu.


Naamini upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM ndio hawa wazalendo wachache kama dkt kakurwa wataibuka na kuwasemea wanyonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…