Asante 2022, nilipata mil. 4.5 kimasihara

Aisee sasa nifanyeje na nilishaitumia na sijawahi pigiwa na mtu kwamba kakosea kutuma
Mimi sijui kwa sababu kwangu pia Sina uhakika Kama nilipata misukosuko kwa sababu ya ile hela au ikitokea tu.

FUATA MOYO WAKO
 
Mmh
 
Huwa wanakata pesa per engagement au per view mkuu.
 
Sawa umetapeli hela ya watu lakini acha kumshirikisha Mwenyezi MUNGU kwenye ujinga wako. ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ
 
Mkuu mbona makasiriko tena nimemtapeli nani na mbona hadi leo sijapigiwa simu kwamba mtu kakosea kutuma pesa, punguza wivu kidogo au una njaa nikutumie hata 10k
 
Awali nilidhani dunia ni sehemu ya kutendeana mema hadi pale nilipolipwa mabaya hadi na ndugu zangu na watu wa karibu.

Najilaumu ile 100k nilishindwaje kuichomoa hatimae ikarudi ilikotoka.

Mathalan hujamlazimisha mtu kukutumia hiyo hela, au hujaiba wala kupora hayo ndo malipo yako sasa. Utajuaje labda serikali au UN imekupa mafao yako ya kutokua na ajira?
 
Wee jamaa nirudishie pesa yangu.Naomba unirudishie hata nusu yake tu.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ