Mmh. Mapenzi ya kulambana lambana tena. Duuh.
Ila mapenzi ni kitu kingine bana unaweza andaa hiyo asali ila ukafika muda wa ile shughuli hata nafasi wa kumwagiana hiyo asali isipatikane kwa sababu kila mtu ana mhemuko wake na kuna mwingine mpaka uanze kumtuliza eti umwagie asali mmh.
Hapo unaweza kuta kashahama kabisa yaani hayupooo.![]()
![]()
![]()
Labda hivyo.Kwa kawaida mbwembwe nyingi kwenye mapenz znapatikana round ya pili. Mwanzon kile cha nguruwe hakitakag maufund.
AhahahhMkimaliza asali, mtakuja kumwagiana hadi maziwa mtindi!!
Kwenye maeneo yenye joto yes inafaa.Ice cream pia inafaa
Go try it ina mzuka wa earthquakeAiseeeeee ngoja nitajaribu nione mzuka wake