Asali inavyotia mshawasha kwenye foreplay

Asali inavyotia mshawasha kwenye foreplay

Mmh. Mapenzi ya kulambana lambana tena. Duuh.

Ila mapenzi ni kitu kingine bana unaweza andaa hiyo asali ila ukafika muda wa ile shughuli hata nafasi wa kumwagiana hiyo asali isipatikane kwa sababu kila mtu ana mhemuko wake na kuna mwingine mpaka uanze kumtuliza eti umwagie asali mmh.

Hapo unaweza kuta kashahama kabisa yaani hayupooo.
Hahahaha mtaniiiii ww na asali wapi na wapi
 
Asee usidhutu kummwagia mpenzi wa kichaga Asali,atakukata kibao akwambie sasa manka mbona unamwaga hela hiyo asee..
 
Mtaramba mpaka visivyorambwa! Mtaramba mpaka tigoni! Vijana fanyeni mazoezi, na kazi ngumu, nenda shamba, au bustanini, palilia maua au panda maua, shika jembe,fyeka, endesha baiskeli ili uvuje jasho au shiriki michezo. Unamaliza mwezi haujatembea 3km, halafu upige game, wapi! Utaramba asali unapiga kamoja kwa wiki, mama atachepuka, anagongwa 3 lunchtime tu!na hajalambwa kwa asali! Kumbukeni,uanaume ni huko kwenye suruali.
Ushauri na maneno muafaka kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom