ngoshombasa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 435
- 232
Naenda kununua ndoo ya asali sokoni ... Asante kamanda.
Hahahaaa. Nimejikuta nakosa cha kuandika aiseee.Hupendi kulambwa
Hahahaaa. Nimejikuta nakosa cha kuandika aiseee.
usijibu hvo sema i love u too af me sio mkuu nina 23yrs sawa EmmyMmh. Ahsante sana mkuu.
. Basi sawa.usijibu hvo sema i love u too af me sio mkuu nina 23yrs sawa Emmy
ntakupaka hela mwili mzima sio asali. Basi sawa.
hahaha nimecheka kwa sautiMkimaliza asali, mtakuja kumwagiana hadi maziwa mtindi!!
Mmh. Mapenzi ya kulambana lambana tena. Duuh.
Ila mapenzi ni kitu kingine bana unaweza andaa hiyo asali ila ukafika muda wa ile shughuli hata nafasi wa kumwagiana hiyo asali isipatikane kwa sababu kila mtu ana mhemuko wake na kuna mwingine mpaka uanze kumtuliza eti umwagie asali mmh.
Hapo unaweza kuta kashahama kabisa yaani hayupooo.
Sasa rafiki hapo kulambana si hadi kunakucha bado asali haijakwisha?
Sasa rafiki hapo kulambana si hadi kunakucha bado asali haijakwisha?