magdarena Member Jun 21, 2012 58 23 Jun 21, 2012 #1 Jamani wana jf nawasalimia wote natumai hamjambo wote. Naomba mtupe ushirikiano sisi wageni. Nawapenda wote naninawatakia lakheri Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Jamani wana jf nawasalimia wote natumai hamjambo wote. Naomba mtupe ushirikiano sisi wageni. Nawapenda wote naninawatakia lakheri
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Jun 21, 2012 #2 Karibu sana Magdarena! Call me b52
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jun 22, 2012 #4 kwa mikono miwili, ushirkiano ndio upo tele hulo usijali, jianadea kukatiza mitaa ya jf uwe mwenyeji fasta,
kwa mikono miwili, ushirkiano ndio upo tele hulo usijali, jianadea kukatiza mitaa ya jf uwe mwenyeji fasta,
magdarena Member Jun 21, 2012 58 23 Jul 18, 2012 Thread starter #6 nawashukuru kwaikarimu wenu wote mlonipokea. tupo pamojan inshallah