Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Kudadadadeki!
Tumetoka mbali mangi tangu enzi zileeeeeee.... unaogeshwa live....
Mpaka yaani shheenzy zakoooo ukapitia matatizo makubwa sana.... dingi yako alikuwa mmmbaayyyaaaa!!
Nakumbuka ukaniahidi utakuwa kamanda
Kwamba huogopi kitu wala nini....
Tatizo lako hommie unasahau kitu kimoja..... umeona eh?
Wakati unajua kabisa nshakupa kazi moja ya kunisaidfia ukaguzi mkubwa......
Na ukaguzu mdogo
Hujataka kunielewa, lakini kumbuka...
Maadam ushayajua hayo hommie basi acha tabia mbaya
Kwakuwa mie kama kaka yako mkuu, na babu mkaguzi mwenye heshima zangu, natambua kuwa leo umetimiza mwaka mmoja hapa JamiiForums.
Sina cha kukuambia zaidi ya hiki...
Hiki ulichokionyesha kwa mwaka mmoja, waweza kukiongeza mara nyingi zaidi...... Usituangushe, Tunakuhitaji sana!
Habari hii iwafikie: Wanaapolo: PakaJimmy, Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, Mr Rocky, Filipo, marejesho, Kabakabana, Mzee wa Rula, Saharavoice, LiverpoolFC (Pole zetu mazee).
Bila kuwasahau wana leo tupo hapa Madame B, snowhite, Remmy, Paloma, Raiza, gfsonwin, KakaKiiza, watu8, Jiwe Linaloishi, Mentor, Kipaji Halisi, Mtambuzi, Zion Daughter, Mjeda, Fidel80. Kaizer na Invisible kwa ajili ya kunigongea LIKE.
Pamoja Saana: Source my darling shem AshaDii
Ambao sijawamenshen msisahau kunigongea LIKE.
Guud naiti pipooooz!!:amen::amen:
Tumetoka mbali mangi tangu enzi zileeeeeee.... unaogeshwa live....
Mpaka yaani shheenzy zakoooo ukapitia matatizo makubwa sana.... dingi yako alikuwa mmmbaayyyaaaa!!
Nakumbuka ukaniahidi utakuwa kamanda
Kwamba huogopi kitu wala nini....
Tatizo lako hommie unasahau kitu kimoja..... umeona eh?
Wakati unajua kabisa nshakupa kazi moja ya kunisaidfia ukaguzi mkubwa......
Na ukaguzu mdogo
Hujataka kunielewa, lakini kumbuka...
Maadam ushayajua hayo hommie basi acha tabia mbaya
Kwakuwa mie kama kaka yako mkuu, na babu mkaguzi mwenye heshima zangu, natambua kuwa leo umetimiza mwaka mmoja hapa JamiiForums.
Sina cha kukuambia zaidi ya hiki...
Hiki ulichokionyesha kwa mwaka mmoja, waweza kukiongeza mara nyingi zaidi...... Usituangushe, Tunakuhitaji sana!
Habari hii iwafikie: Wanaapolo: PakaJimmy, Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, Mr Rocky, Filipo, marejesho, Kabakabana, Mzee wa Rula, Saharavoice, LiverpoolFC (Pole zetu mazee).
Bila kuwasahau wana leo tupo hapa Madame B, snowhite, Remmy, Paloma, Raiza, gfsonwin, KakaKiiza, watu8, Jiwe Linaloishi, Mentor, Kipaji Halisi, Mtambuzi, Zion Daughter, Mjeda, Fidel80. Kaizer na Invisible kwa ajili ya kunigongea LIKE.
Pamoja Saana: Source my darling shem AshaDii
Ambao sijawamenshen msisahau kunigongea LIKE.
Guud naiti pipooooz!!:amen::amen:
Last edited by a moderator: