Kama kuna kipindi nilipata kumdharau na kumchukia kupita kiasi Mheshimiwa Pinda ni pale alipoingilia maamuzi ya John Pombe Magufuri kuhusu suala zima la mizani! Wafanyabiashara wa malori wakacheza na akili ya Watanzania na Watanzania nao bila kujitambua wakawa upande wao na kuona alichofanya Magufuri sio sahihi! Watu wa malori wakafikia hadi kusema eti Tanzania ndiyo nchi pekee inayoruhusu uzito mdogo wakati ukweli ni kwamba Tanzania ndio miongoni mwa nchi zinazoruhusu uzito mkubwa zaidi wa Tani 56. Kenya labda wabadilishe sasa, wao ilikuwa maximum load ni 48 tonnes
..na ikiwa inazidi upande mmoja tu; unakula bonge la faini! Wafabiashara wa Tanzania wakawahadaa Watanzania kiasi cha kutuonesha as if suala la mzigo ku-move na kuegemea kwenye axle moja ni suala la Tanzania peke yake! Upumbavu mwingine ambao Wafanyabiashara waliwadanganya Watanzania na sisi kama mazuzu tukawaunga mkono ni suala la ubovu wa mizani!
Mungu hamfichi mnafiki. Kwa mujibu wa ITV saa 2 usiku huu; Wakala wa Vipimo Arusha ilifanya ukaguzi wa kushitukiza! Magari kibao yamejaza kupita kiasi. Aidha kuna gari limezidisha 30 tonnes, na baada ya kuona kimeo dereva ameingia mitini. Lakini madereva wengine kama kawaida yao; eti mizani mbovu! Upumbavu mtupu.
Habari hii ni aibu kwa Pinda, tena ni aibu iliyopitiliza aibu ambayo anapaswa kuwa nayo PM. Magufuri hakukosea hata chembe kuondoa nafuu ya 5% ambayo kimsingi ilikuwa ni favor na wafanyabiashara wakaibadilisha na kuiona ni right yao. Kwa upande mwingine, Magufuri sasa wakati umefika ukafahamu tafsiri sahihi ya kujihudhuru! Ikiwa mara kwa mara maamuzi unayofanya huwa yanatenguliwa na wakubwa wako; tafsiri yake ni kwamba wana mashaka na uwezo wako wa maamuzi .wanakuona unamudu sana kazi ya u-foreman kuliko kufanya maamuzi. Hiyo peke yake ni sababu tosha kabisa kukufanya kujihudhuru si kwa sababu umeshindwa kazi au umefanya makosa bali umeshindwa kufanya kazi na wakubwa wako ambao hawaamini katika maamuzi yako!
Mungu hamfichi mnafiki. Kwa mujibu wa ITV saa 2 usiku huu; Wakala wa Vipimo Arusha ilifanya ukaguzi wa kushitukiza! Magari kibao yamejaza kupita kiasi. Aidha kuna gari limezidisha 30 tonnes, na baada ya kuona kimeo dereva ameingia mitini. Lakini madereva wengine kama kawaida yao; eti mizani mbovu! Upumbavu mtupu.
Habari hii ni aibu kwa Pinda, tena ni aibu iliyopitiliza aibu ambayo anapaswa kuwa nayo PM. Magufuri hakukosea hata chembe kuondoa nafuu ya 5% ambayo kimsingi ilikuwa ni favor na wafanyabiashara wakaibadilisha na kuiona ni right yao. Kwa upande mwingine, Magufuri sasa wakati umefika ukafahamu tafsiri sahihi ya kujihudhuru! Ikiwa mara kwa mara maamuzi unayofanya huwa yanatenguliwa na wakubwa wako; tafsiri yake ni kwamba wana mashaka na uwezo wako wa maamuzi .wanakuona unamudu sana kazi ya u-foreman kuliko kufanya maamuzi. Hiyo peke yake ni sababu tosha kabisa kukufanya kujihudhuru si kwa sababu umeshindwa kazi au umefanya makosa bali umeshindwa kufanya kazi na wakubwa wako ambao hawaamini katika maamuzi yako!