Mkuu NasDaz Nimekuelewa vzr, kwamba ukweli unabaki palepale kuwa iwapo gari lilipimwa mara ya kwanza (mzani wa kwanza) na kuwa 8tonnes@Axle = tonnes48 (iwapo gari lina Axles 6), na iwapo itatokea kuwa kuhama kwa mzigo kutikisika kutokana na mwendo na kufika mzani wa pili na Axle 1-6 zina tonnes 6:6:9:9:9:9 hapa tatizo si ubovu wa mzani! ila ni suala la hesabu ya kujumlisha, sasa Pinda inakuwaje? hakuchanganya na akiri zake? alikubali za kuambiwa za upande mmoja tu? labda kama kuna jingine iwapo sisi TZ ndio tulikuwa na uzito wa juu kuliko wengine (EA) na bado wasafirishaji wetu wanapinga