Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,315
- 18,010
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
PIA, SOMA:
Kabla ya Ukuu wa Mkoa Arusha
Uteuzi wa Ukuu wa Mkoa Arusha
Matukio baada ya Uteuzi
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
PIA, SOMA:
Kabla ya Ukuu wa Mkoa Arusha
Uteuzi wa Ukuu wa Mkoa Arusha
Matukio baada ya Uteuzi
- Msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano
- Paul Makonda aingia Arusha anakabidhiwa Ofisi muda huu na kuzungumza na Wananchi
- RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
- RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha
- Arusha: Makonda akutana na Mwamposa na kufanyiwa maombi
- Makonda: Watalii hawaji Arusha kulala wanakuja kula starehe, ni lazima Arusha iwe salama saa 24. Hao wadudu nitaongea nao
- Paul Makonda: Watu wa Arusha wanaweza kwenda popote kupambana, iko mikoa unakuta waganga wengi wa kienyeji. Kutambulisha polisi wa kitalii
- Makonda atembelea maeneo yaliyoathirika na Mafuriko jijini Arusha