Arusha vs dar es salaam

Madame B ntakusutaaa na unafanyaje kimyakimya? Haki ya mama ngoja nkutaftie jisongi la kukusasambulie wewe!
CC yako nimeipata na imetue mezani kwangu.
Msinione kimya jamani...........napanga mipango ya Ndoa yangu.
 
Last edited by a moderator:
Madame B ntakusutaaa na unafanyaje kimyakimya? Haki ya mama ngoja nkutaftie jisongi la kukusasambulie wewe!

......He!!!!!! Shost, ina maana Raiza hajakupa taarifa?
Naolewa mwezi huu........... msimamizi wangu ni Evelyn Salt na King'asti.

Hapa tunachukua zoezi lakutoa aibu kwanza huku tukiwa ndani ya mashela ili tusiaibike siku hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Bora kunywa maji! Juice nitamwachia mtoto walah! Arushaone hamna kitu naweza kuingiza kwa tumbo!

Unatia huruma ila sina cha kukusaidia tofauti ya kukuambia kesho yaja, utakuwa fresh best.
 
Last edited by a moderator:
........... Yaani nataka ajue kabisa kuwa akinioa mimi, basi ameuoa na huo ukoo mzima.
Shemeji hebu fanya ukalale! Ulizokwishabugia huoni zinavyokutesa? Afu bado mwenzio hom anasubiri finyango!
Chezeiya leta tutigite weyee!
 
Kabla sijakupigia debe hebu niondoe kwenye hili kundi la kaka zako. Kwa sasa niweke hapo kwa akina Asprin wakati nikifanya mchakato wa kupanda hapo walipo kina Chimbuvu
 
Last edited by a moderator:
Bora kunywa maji! Juice nitamwachia mtoto walah! Arushaone hamna kitu naweza kuingiza kwa tumbo!
Kama kudrive itakupa shida ita teks fasta uje nikukamue... Maana kulala umevimbiaa mijuice itakuwa ngum
 
Shemeji hebu fanya ukalale! Ulizokwishabugia huoni zinavyokutesa? Afu bado mwenzio hom anasubiri finyango!
Chezeiya leta tutigite weyee!



Am missing UUUUUUUUUUUUUU..............!!!!!!!!!!!!!
 
Najuuuta kuja huku lol!
Ngoja nikachungulie kwenye siasa kuna jipya gani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…