Arusha vs dar es salaam

Joined
Mar 29, 2013
Posts
5
Reaction score
3
Natafta rafki wa kke wa kuchat nae.Nimemalza 4m6 nastay arachuga rafki yeyeto wa kke ambae yuko interested antafute kwa joviel92@ovi.com au joviel92@gmail.com
 
Mh nnavyopenda kukaa ghorofani....hili lililoporomoka limeshusha munkari kabisa! Raiza mambo? Umerudi? Tupange mkakati wa kwenda nyanda za juu kusi. Cc Madame B
 
Last edited by a moderator:
Mh nnavyopenda kukaa ghorofani....hili lililoporomoka limeshusha munkari kabisa! Raiza mambo? Umerudi? Tupange mkakati wa kwenda nyanda za juu kusi. Cc Madame B

sijarudi
unanidai???
 
Last edited by a moderator:
CC yako nimeipata na imetue mezani kwangu.
Msinione kimya jamani...........napanga mipango ya Ndoa yangu.

ha ha dada huyo anaolewa!!
dada huyo anaolewa!!!
mahari umetolewa lakini???
 
Shemeji mzima? Umepotea kweli ndugu yangu, mie na watu8's family hatujambo kabisa

Niko poa mama.., mambo ni aje lakini..!? nimepangiwa lindo kwenye geti lenye vibaka wengi ndo maana nashindwa hata kuchitchatka shem... hope pasaka ilikuwa mwaaa...!!
 
Last edited by a moderator:
Natafta rafki wa kke wa kuchat nae.Nimemalza 4m6 nastay arachuga rafki yeyeto wa kke ambae yuko interested antafute kwa joviel92@ovi.com au joviel92@gmail.com





Mie ni huyo wa Kati Kati, mwenye nguo Nyeusi nyeusi, Nakufaa?
Naitwa Madame B.
Nina Shemeji zangu sita tu.......... sosoliso, watu8, Nicas Mtei, Judgement, Mungi na @Filipo.
Somo wangu ni gfsonwin, Kungwi wangu ni snowhite na Nyakanga wangu ni Lisa.
Nina Shosti zangu wa Ukwenhe....hatuogopi Mvua wala jua.......Popote tunalianzisha.. Paloma, Raiza, mwaJ, Mamndenyi, Evelyn Salt, dadawhite.
Nina wa Kunyumba wangu......... TA moja hiyo, stendi ya kwanza Korogwe Hoteli... King'asti.
Nina kaka zangu humu........ Mtambuzi, Mjeda, Erickb52, Mwanyasi, MziziMkavu, Mshuza2 na Tuko.
Nina Mjukuu mwenzangu mtukutu kama mimi....... Kongosho, Tuko na Babu yetu Dark City.
Nina wapenzi wangu humu... Chimbuvu, Chilli, tedo, Ben Saanane.......bila kuwasahau waliopita wakiongozwa na wa sasa Arushaone.
Nina wifi zangu humu....... charminglady, marejesho, Lily Flower na measkron.........japo mdogo wangu beibe nasty Judgement amembania.
Nina wanywaji wenzangu humu..... tukiongozwa na Asprin,... Bujibuji,... manoah,... Kipaji Halisi,... KakaKiiza,... cacico,... Paloma,... Mtambuzi, figganigga,..
Nina Kundi langu la MKODOBWE INC.COM....
Na vile vile tuna Pub yetu Maarufu ya kukutana iitwayo LEO TUPO HAPA PUB pale Mny'amala A au BRAJEC pale Survey.

Baada ya kusema yote hayo.............. Je, Utapenda kuwa na Mimi?
Tuma maombi yako hapa.

CC: asakuta same, Shark na bacha, Baba V na Nitonye
 
Last edited by a moderator:
Madame B umeua!!! My X wadhani hako katoto la Hamimu (Mulugo) katasimama kweli hata kamalize utambulisho wako hapo juu? Thubutu!
 
Last edited by a moderator:
Yani nimevimbiwaje leo...nimekoma kunywa juice! Hata usingizi sipati kwa jinsi tumbo mpk expres urself vinavyovibrate! Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…