kilango alishapigwa UWT au umesahau?Ehee hii sasa kazi imekabishiwa kwa mwenyewe!! yaani huyu maza saizi yake Anne Kirango!!
kilango alishapigwa UWT au umesahau?Ehee hii sasa kazi imekabishiwa kwa mwenyewe!! yaani huyu maza saizi yake Anne Kirango!!
CCM inaelekea kubaya zaidi na zaidi kila kukicha. Hapa Dodoma,Waziri Sophia Simba anahaha kukusanya na kusafirisha makada na wananchi wa kawaida kwenda Arusha. Wasafirishwa wanapewa sh.30000 na watakapofika Arusha malipo mengine yatafanyika.
Kesho,Ndugu Edward Lowassa anatangaza nia ya Urais huko Arusha. Sophia Simba anawasafirisha watu mchana wa leo kwenda Arusha,kutoka hapa Dodoma kwenda kwa Lowassa. Pesa inamwagwa vilivyo.
Hivi ndivyo uungwaji mkono unavyopaswa kuwa? Lowassa anaendelea kujidhihirisha jinsi asivyofaa kwa kutaka kuununua Urais. Fisadi aogopwe kama acid!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kanda ya Kati)
Utakuwa.unaharisha wwwe
CCM inaelekea kubaya zaidi na zaidi kila kukicha. Hapa Dodoma,Waziri Sophia Simba anahaha kukusanya na kusafirisha makada na wananchi wa kawaida kwenda Arusha. Wasafirishwa wanapewa sh.30000 na watakapofika Arusha malipo mengine yatafanyika.
Kesho,Ndugu Edward Lowassa anatangaza nia ya Urais huko Arusha. Sophia Simba anawasafirisha watu mchana wa leo kwenda Arusha,kutoka hapa Dodoma kwenda kwa Lowassa. Pesa inamwagwa vilivyo.
Hivi ndivyo uungwaji mkono unavyopaswa kuwa? Lowassa anaendelea kujidhihirisha jinsi asivyofaa kwa kutaka kuununua Urais. Fisadi aogopwe kama acid!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kanda ya Kati)
Pasco sikiliza kilio cha mtu mzima hiki, hata mimi nashangaa mnanipita tu tusiogopane jamani hata mimi bahasha ya kaki naitaka.uwii tanzania naionea huruma sanaa
Ivi jaman naomba kujuzwa ivi kweli izo hela za lowassa ni nyingi kiasi gani ambacho haziwez kuisha wala kupungua? afu je ivi hana uchungu nazo hata kidogo?
ivi ikulu kuna biashara gan ambayo anauhakika atalkwenda kuifanya iweze kurudisha izo ela zote anazotumia?
afu ha ajabu mbona kila siku yanasemwa kagawa pesa mara sijui nini lkn kila uchwao watu mtaani ni maskin wa kutupwa na sijawah kukutana na hata mmtu mmoja akasema leo ninazo hizi apa lef 2 toka kwa lowassa?
na je mbona huo mgao basi haujafika kwangu? ama mimi nami sio mtanzania?
CCM inaelekea kubaya zaidi na zaidi kila kukicha. Hapa Dodoma,Waziri Sophia Simba anahaha kukusanya na kusafirisha makada na wananchi wa kawaida kwenda Arusha. Wasafirishwa wanapewa sh.30000 na watakapofika Arusha malipo mengine yatafanyika.
Kesho,Ndugu Edward Lowassa anatangaza nia ya Urais huko Arusha. Sophia Simba anawasafirisha watu mchana wa leo kwenda Arusha,kutoka hapa Dodoma kwenda kwa Lowassa. Pesa inamwagwa vilivyo.
Hivi ndivyo uungwaji mkono unavyopaswa kuwa? Lowassa anaendelea kujidhihirisha jinsi asivyofaa kwa kutaka kuununua Urais. Fisadi aogopwe kama acid!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kanda ya Kati)
CCM inaelekea kubaya zaidi na zaidi kila kukicha. Hapa Dodoma,Waziri Sophia Simba anahaha kukusanya na kusafirisha makada na wananchi wa kawaida kwenda Arusha. Wasafirishwa wanapewa sh.30000 na watakapofika Arusha malipo mengine yatafanyika.
Kesho,Ndugu Edward Lowassa anatangaza nia ya Urais huko Arusha. Sophia Simba anawasafirisha watu mchana wa leo kwenda Arusha,kutoka hapa Dodoma kwenda kwa Lowassa. Pesa inamwagwa vilivyo.
Hivi ndivyo uungwaji mkono unavyopaswa kuwa? Lowasw
WEWE MZEE NI MNAFIKI SANA........
eti pesa inamwaga vilivyo,weka video tuone hiyo pesa ikimwagwa