Manaake hadi Ilala imeitwa Mkoa ilhali ni Wilaya. Tutaheshimiana tu!
Manaake hadi Ilala imeitwa Mkoa ilhali ni Wilaya. Tutaheshimiana tu!
Mkoani Kagera ukiwa na wilaya 8 TANESCO wameata umeme tangu juzi jumatano na kwamba utarejeshwa jumatatu au jumapili.Tutaheshimiana tu
Ka TANESCO Ilala ni Mkoa kama ilivyo kwa PolisiManaake hadi Ilala imeitwa Mkoa ilhali ni Wilaya. Tutaheshimiana tu!
Mkoa wa Kagera unapata umeme wake kutoka UGANDA.
Je, una maana hata Yoweri Museveni ameanza kumshughulikia Edward Lowassa?
Mkuu, ilala kuitwa wilaya au mkoa inategemea unaiongelea katika muktadha gani, ki polisi inaitwa ni mkoa, tmk na kinondoni yote ni mikoa ndio maana ina ma RPC'S vile vile hata kwa Tanesco hiyo ni mikoa ndio maana ina ma mameneja wa mikoa, ki utawala ndio wilaya.
Radio zitafanya kazi kubwa. Huku kwetu hata wakikata haituumizi sana zaidi heshima inarudi mtaani mafuta yatatumika
Haaaa haaa nasikia wanafunzi wa chuo cha ualimu Patandi wamekataza kuhudhuria sherehe hizo na jumamosi wamepangiwa kufanya mtihani kuanzia saa 8 mchana hadi 12 jioni tutaheshimiana tu.
Manaake hadi Ilala imeitwa Mkoa ilhali ni Wilaya. Tutaheshimiana tu!
Ka TANESCO Ilala ni Mkoa kama ilivyo kwa Polisi
Wangekata nchi nzima ndio ingekuwa komesha ya hili fisadi